Kama wamejenga kwa pesa Yao kuna ubaya gani hapo?CCM mbele kwa mbele
View attachment 1136332
Kama wamejenga Kwa pesa zao basi kuna mmoja hapo kawaingiza wenzake mkenge, amewaibia mchana kweupee!Kama wamejenga kwa pesa Yao kuna ubaya gani hapo?
Ubaya ni pale kitu kilichogharimu 500,000/- ututangazie kimegharimu 7,800,000/-Kama wamejenga kwa pesa Yao kuna ubaya gani hapo?
Wametangulizwa chambo kwanzaMbona simuoni jiwe hapo? Maana anapendaga sana mauzinduzi. CCM ni ile ile
Inategemae na aina ya mkandarasi na gharama za upatikanaji wa malighafi pia labda grama kubwa za ''clearing the site'' gharama za kuwezesha kivuko kijengwe ''Land reclamation'' unakumbuka kwenye somo la geographyCCM mbele kwa mbele
View attachment 1136332
Sawa, kimetumia vifaa vilivyoidhinishwa na NEMC.CCM mbele kwa mbele
View attachment 1136332
Kama wamejenga Kwa pesa zao basi kuna mmoja hapo kawaingiza wenzake mkenge, amewaibia mchana kweupee!