mkulu senkondo
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 1,834
- 3,530
Kulingana na ubora wa wachezaji waliosajili, waliopo na hata wale ambao kuna uwezekano mkubwa wa kusajili naomba tusaidiane hapa ili tuone ni kwa namna gani timu hii kongwe hapa nchini inaweza ikafanya vizuri zaidi katika mashindano mbalimbali ambayo itashiriki.
Kikosi changu Mimi ni hiki;
1.Aishi Manula
2.Shomari Kapombe
3.Mohamedi Zimbwe
4.James Kotei
5.Juuko Murshid
6.Jonas Mkude
7.Shiza Kichuya
8.Mzamiru Yasini
9.John Bocco
10.Haruna Niyonzima
11.Emmanuel Okwi.
Sub
1.Manyika Jr
2.Abdi banda
3.Besala Bokungu
4.Saidi Ndemla
5.Mohamedi Ibrahimu
6.Frederick Blagnon
Note; unaruhusiwa kukikosoa kikosi na kumuweka benchi mchezaji yeyote kwa mtazamo wako kadri unavyoona inafaa.
Kikosi changu Mimi ni hiki;
1.Aishi Manula
2.Shomari Kapombe
3.Mohamedi Zimbwe
4.James Kotei
5.Juuko Murshid
6.Jonas Mkude
7.Shiza Kichuya
8.Mzamiru Yasini
9.John Bocco
10.Haruna Niyonzima
11.Emmanuel Okwi.
Sub
1.Manyika Jr
2.Abdi banda
3.Besala Bokungu
4.Saidi Ndemla
5.Mohamedi Ibrahimu
6.Frederick Blagnon
Note; unaruhusiwa kukikosoa kikosi na kumuweka benchi mchezaji yeyote kwa mtazamo wako kadri unavyoona inafaa.