mngony
JF-Expert Member
- Jul 27, 2012
- 5,193
- 6,381
Nina rafiki yangu alichanja mwaka jana, yeye aliumwa corona ile ya kwanza na kupumulia Oxygen kwa siku 4 na akashuhudia ndugu yake akifariki kwa corona. Hakutaka kusubiri siasa zetu hizi, faster tu kaenda kwa wenzetu kapata na mkeweNashindwa kuelewa kwanini mtoa mada hakulijua hilo....Yaani JK mpaka sasa awe hajachwanjwa asubiri za bure?? Kama kina AY walishachanjwa zamani miezi karibu mi5 iliyopita ndio JK asichanjwe?