Tusaidiane kujibu maswali haya jamani!

Mpeni sifa Yesu

JF-Expert Member
May 23, 2010
646
129
UTAFANYEJE YAKIKUKUTA HAYA MAMBO HAPA CHINI?

1. Umeoa mke, na umezaa naye watoto watano, wengine wako shule ya msingi wengine chekechea

2. una tabia ya ulevi kila mtu mtaani anakujua.
3. mara nyingi unarudi umejichafua haja kubwa kenye suruali, harufu inaanzia getini unapoletwa, unakojoaa kitandani ukilala kwasababu umekunywa bia lita kumi zikakwangua chakula tumboni hadi kwenye rectum. ndo maana unaendesha bila kujipendea mbele za watoto.

4. watoto kila siku wanakuona unarudi umejinyeaa, umeloa mikojo, pengine huletwa na tolori au tax

5. wakati mwingine ukiwa home umelewa unatoka sebuleni kwa watoto unakojoa sebuleni ukifikiri ni chooni kwasababu ya ulevi. watoto wanayaona maungo yako.

6. watoto wameyaona maungo yako ya siri, wameshakuona ukiwa uchi, wamekuchoka kuona umejisaidia ovyoovyo..

7. Mke na watoto wako uncomfortable kwasababu mtaani wanachekwa kuwa wanaishi na baba anayejinyeaa na kujikojolea ovyoovyo. mke anavumilia, watoto wanaona aibu.

UTAJISIKIAJE KUISHI NA WATOTO wakati wameiona aibu yako namna hii? kama ilivyokuwa kwa Nuhu baba yake kina Ham Jafeti na shemu?


NB: hii imetokea kabisa kwa mbaba mmoja anakaa kule mbezi ya kimara, na mwingine anakaa kihesa Iringa. nimeshuhudia kwa macho yangu akiwa amejinyea..yule wa iringa ni kwasababu ya ulanzi, huyu wa mbezi hapa dar, ni mapombe tu. watoto wake hawamheshimu kabisa yaani hata wajitahidi kumheshimu hadhi ya baba yao hairudi mioyoni mwao.
 
duhh kwa kweli na mwonea hruma sana huyu mama .......
kama mimi haya yametokea kwangu itabidi nihame mji..
kwaajili ya kuondoa aibu na kuwapa amani watoto..
najua hao watoto watakuwa wameadhirika sana kwa mambo baba yao anafanya...
na baba itabidi nimatafutie misaada yote kuanzia rehabilitation na maombi....
 
Huyo hfaya hivyo kwaabab ya ulevi, sasa dawa yake ni kumpakaa hivyo vinyesi akiwa soba, halaf aone inavyokua then atambue kua hua haina tofauti yoyote na anpokua amelewa.
 
lakini kati ya ndoa kumi za walevi/wanywaji, watano wako wa namna hii na wake zao wanaishi katika maisha ya namna hiyo kila siku. hapo kipigo weka pembeni kwasababu hiyo ni kawaida/desturi hata akipigwa hasemi kwa watu kwani kila siku anasubiria kipigo anajua kipo.

hii story haijapikwa, ipo laivu. watoto wanaishi na mzee wakiwa wameuona utupu wake. na mtaani hamna heshima wala nini. yote katika yote, huwezi jua kama vijana wa kihuni wanaopitiaga walevi mtaani walishamuharibu pasipo yeye kujielewa au la...enyi wenye waume, mwombeni Mungu awasaidie waume zenu waokoke...yatakuja kukukuta mambo makubwa utashindwa hata pa kukiimbilia.

ninaye babayangu mdogo, ni daktari mzuri sana, na anayo hospitali yake pia. yeye hulewa sana, na mara nyingi mamangu mdogo huwa anawaambia kabisa mabaa medi, ukiona amelewa kodisha taxi nitakuja kukulipia hela, mpakieni mleteni home...baa nyingi wameshamjua na wanamsaidia kwa namna hiyo. hivi karibuni kama mwaka mmoja umepita, huyu daktari amepimwa akaonekana anavyo virusi vya ukimwi...mamangu mdogo (mdogo wa mamangu), ameathirika wakati yeye hanywi pombe, baba kaleta...wanao watoto wawili, sasaivi wanajitahidi kujenga maisha ili watoto wao waje waendelee vizuri pindi watakapoondoka....na wameshaanza kutumia vidonge...hivi pombe unajua inaweza kumpeleka mtu kokote? mabaa medi ndo wanaiba pesa kama nini....inatia uchungu sana, lakini ndivyo ilivyo.
 
Hii scenario inafanana na hali halisi ya jirani yangu ambae mumewe ni msomi mzuri wa uhandisi alikuwa na uwezo mzuri kimaisha lkn hali ikabadilika baada ya kuzidisha pombe aina ya gongo!

Huyu baba alikuwa anaanza kulewa asbh anaokotwa mjini katikati analetwa na wanaomfahamu either wengine kwa baskeli au mkokoteni akiwa hajitambui,,,kajikojolea na kila kitu! akifika home mkewe anamsafisha,,,anamlisha anamlaza kitandani!baba akawa hawezi tena kazi wakawa wanategemea kodi za wapangaji,,na biashara ndogo.
Mama ni mrembo watu wakawa wanamwambia acha ujinga wewe,,huyu ndo mme wako??hivi shughuli anaweza tena kweli??mama wa watu akaokoka akawa busy na maombi at least mumewe sasa amepunguza ile hali ya kujichafua imeisha na kazi anafanya.
Lkn ukweli inahitaji moyo mkuu!!!!
 
Si kweli ni uongo mkubwa hakuna mwanamume anayeweza kufanya kazi,mwenye familia na hadhi mtaani anayeweza kunywa pombe mpaka akajinyea hapana nimeona walevi mbwa wa gongo,mbege na ulanzi,wa bia konyagi,wisk,banana na pombe zote kali lakini kujikojolea na kujinyea kwa mlevi wa kweli mwenye kujua maana ya pombe haiwezekani hata siku moja,mlevi anayejinyea na kujikojolea ni yule wa siku moja ambaye hajui ladha na madhara ya pombe.
 
kosa la huyo mwanamke haiwezekani mwanaume akaanza from nowhere kunywa pombe.tangia wakati wako wa chumba aliona dalili kuwa mwenzake ni alcoholic akazembea kwa kutaka kuolewa au akadhania atambadilisha sasa achume alichopanda,hatuchagui tu mume tunaangalia pia je huyu atakuwa rensponsible father to my children????kisha ndio unaolewa.imekula kwake shauri yake.:teeth::whoo:
 
kosa la huyo mwanamke haiwezekani mwanaume akaanza from nowhere kunywa pombe.tangia wakati wako wa chumba aliona dalili kuwa mwenzake ni alcoholic akazembea kwa kutaka kuolewa au akadhania atambadilisha sasa achume alichopanda,hatuchagui tu mume tunaangalia pia je huyu atakuwa rensponsible father to my children????kisha ndio unaolewa.imekula kwake shauri yake.:teeth::whoo:

lkn usisahau kuwa tabia ya mtu ni less permanent,,,inawezekana kabisa leo hii ukaolewa na mtu asiyekunywa hata pombe lkn baada ya muda akaanza kunywa na mbaya zaidi akawa mlevi bila hata ya frustration.
 
Si kweli ni uongo mkubwa hakuna mwanamume anayeweza kufanya kazi,mwenye familia na hadhi mtaani anayeweza kunywa pombe mpaka akajinyea hapana nimeona walevi mbwa wa gongo,mbege na ulanzi,wa bia konyagi,wisk,banana na pombe zote kali lakini kujikojolea na kujinyea kwa mlevi wa kweli mwenye kujua maana ya pombe haiwezekani hata siku moja,mlevi anayejinyea na kujikojolea ni yule wa siku moja ambaye hajui ladha na madhara ya pombe.
jamani, hata hao wanaokunywa pombe koko ni wanadamu, na wameoa, wana watoto pia, halafu, hata nyie mnaokunywa pombe za kwenye kopo, za kiwandani, mbona ukienda kwenye mabaa mengi tu utakuta mbwa wamefugwa, hata kama hawajafugwa, mbwa koko wengi huwa wanatembelea sana maeneo hayo..kwaajili ya nini? si wanataka kula vinyesi vya walevi?

asilimia kubwa sana ya madaktari wa binadamu, yaani wale wanaosoma muhimbili etc, nimeshuhudia wakipakiwa kwenye toroli na taxi mara kwa mara hawajielewi kwasababu ya pombe...wasomi wengi sana wanakunywa hadi hawajielewi. tatizo sio usomi, tatizo ni pombe ikikukaa kichwani, kutoka ni ngumu yeye anapoenda bar anaweza akawa anasema..lo, jana nililewa nikamwaga radhi, sasa leo ngoja ninywe kidogo tu...anapokuja kustuka, amekunywa nyingi anashindwa kusimama..miguuu inapigana, magoti yanagongana...anaona nyota...hivi tumbo la aina gani linaweza kunywa bia za nusu lita nusu lita kumi, sawa na lita tano za maji yote unamwagia kwenye tumbo moja hilihili? lazima tumbo likwanguke hapo na aibu utapata.
 
UTAFANYEJE YAKIKUKUTA HAYA MAMBO HAPA CHINI?

1. Umeoa mke, na umezaa naye watoto watano, wengine wako shule ya msingi wengine chekechea

2. una tabia ya ulevi kila mtu mtaani anakujua.
3. mara nyingi unarudi umejichafua haja kubwa kenye suruali, harufu inaanzia getini unapoletwa, unakojoaa kitandani ukilala kwasababu umekunywa bia lita kumi zikakwangua chakula tumboni hadi kwenye rectum. ndo maana unaendesha bila kujipendea mbele za watoto.

4. watoto kila siku wanakuona unarudi umejinyeaa, umeloa mikojo, pengine huletwa na tolori au tax

5. wakati mwingine ukiwa home umelewa unatoka sebuleni kwa watoto unakojoa sebuleni ukifikiri ni chooni kwasababu ya ulevi. watoto wanayaona maungo yako.

6. watoto wameyaona maungo yako ya siri, wameshakuona ukiwa uchi, wamekuchoka kuona umejisaidia ovyoovyo..

7. Mke na watoto wako uncomfortable kwasababu mtaani wanachekwa kuwa wanaishi na baba anayejinyeaa na kujikojolea ovyoovyo. mke anavumilia, watoto wanaona aibu.

UTAJISIKIAJE KUISHI NA WATOTO wakati wameiona aibu yako namna hii? kama ilivyokuwa kwa Nuhu baba yake kina Ham Jafeti na shemu?


NB: hii imetokea kabisa kwa mbaba mmoja anakaa kule mbezi ya kimara, na mwingine anakaa kihesa Iringa. nimeshuhudia kwa macho yangu akiwa amejinyea..yule wa iringa ni kwasababu ya ulanzi, huyu wa mbezi hapa dar, ni mapombe tu. watoto wake hawamheshimu kabisa yaani hata wajitahidi kumheshimu hadhi ya baba yao hairudi mioyoni mwao.



for better or worse walikubali kuishi pamoja kama mume na mke!
Nawasilisha!
 
Si kweli ni uongo mkubwa hakuna mwanamume anayeweza kufanya kazi,mwenye familia na hadhi mtaani anayeweza kunywa pombe mpaka akajinyea hapana nimeona walevi mbwa wa gongo,mbege na ulanzi,wa bia konyagi,wisk,banana na pombe zote kali lakini kujikojolea na kujinyea kwa mlevi wa kweli mwenye kujua maana ya pombe haiwezekani hata siku moja,mlevi anayejinyea na kujikojolea ni yule wa siku moja ambaye hajui ladha na madhara ya pombe.

umefanya utafiti wa kutosha mpk kupinga uliyoyaskia?
wewe acha ubshi ..tembea uone.izi mambo zipo tena sana.
nina anko angu alikuwa na tabia izo zote.mlev a to z.
mkewe alisepa
 
kosa la huyo mwanamke haiwezekani mwanaume akaanza from nowhere kunywa pombe.tangia wakati wako wa chumba aliona dalili kuwa mwenzake ni alcoholic akazembea kwa kutaka kuolewa au akadhania atambadilisha sasa achume alichopanda,hatuchagui tu mume tunaangalia pia je huyu atakuwa rensponsible father to my children????kisha ndio unaolewa.imekula kwake shauri yake.:teeth::whoo:

mmh mpe pole mwenzako
 
ivi jaman kwan hakuna dawa ya kumwachisha pombe mtu?
achilia mbali rehab senta au counceling hakuna DAWA YA KIENYEJI LABDA YA KUMPA BNADAMU AKAACHA POMBE?
 
Kila mlevi ana mambo yake akilewa, kuna kaka mmoja mi nilisha wahi kumshudia ni kaka anafanya kazi yake na anajiheshim laki akilewa anaenda mbele ya wanaume wenzie anatoa dola mia anavua nguo anawageuzia makalio wenzie, anaanza kusema haya sasa simnajidai vidume hela hii hapa anaejidai kidume anaweza sana aje anifanye sasa hela hii hapa njooni kama wanaume. Inabidi wanaume wenzie waondoke zao na si mara moja, kwa hiyo ulevi wa aibu upo sana na mtu kama huyo hawezi jiskia aibu mpaka aache pombe. Kuna mbaba mwingine yeye akishalewa anaenda bafuni kuoga anajifunga tower anasahau kuvua anaoga nayo then anaicha bafuni anasahau anatoka uchi ni story za kweli na si uongo yapo sana hayo mambo ya aibu. Wao hawaoni aibu familia yake ndo inakua inatia huruma kwa aibu, pia hawashauriki atakuskiliza then ana acha hapohapo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom