Mpeni sifa Yesu
JF-Expert Member
- May 23, 2010
- 646
- 129
UTAFANYEJE YAKIKUKUTA HAYA MAMBO HAPA CHINI?
1. Umeoa mke, na umezaa naye watoto watano, wengine wako shule ya msingi wengine chekechea
2. una tabia ya ulevi kila mtu mtaani anakujua.
3. mara nyingi unarudi umejichafua haja kubwa kenye suruali, harufu inaanzia getini unapoletwa, unakojoaa kitandani ukilala kwasababu umekunywa bia lita kumi zikakwangua chakula tumboni hadi kwenye rectum. ndo maana unaendesha bila kujipendea mbele za watoto.
4. watoto kila siku wanakuona unarudi umejinyeaa, umeloa mikojo, pengine huletwa na tolori au tax
5. wakati mwingine ukiwa home umelewa unatoka sebuleni kwa watoto unakojoa sebuleni ukifikiri ni chooni kwasababu ya ulevi. watoto wanayaona maungo yako.
6. watoto wameyaona maungo yako ya siri, wameshakuona ukiwa uchi, wamekuchoka kuona umejisaidia ovyoovyo..
7. Mke na watoto wako uncomfortable kwasababu mtaani wanachekwa kuwa wanaishi na baba anayejinyeaa na kujikojolea ovyoovyo. mke anavumilia, watoto wanaona aibu.
UTAJISIKIAJE KUISHI NA WATOTO wakati wameiona aibu yako namna hii? kama ilivyokuwa kwa Nuhu baba yake kina Ham Jafeti na shemu?
NB: hii imetokea kabisa kwa mbaba mmoja anakaa kule mbezi ya kimara, na mwingine anakaa kihesa Iringa. nimeshuhudia kwa macho yangu akiwa amejinyea..yule wa iringa ni kwasababu ya ulanzi, huyu wa mbezi hapa dar, ni mapombe tu. watoto wake hawamheshimu kabisa yaani hata wajitahidi kumheshimu hadhi ya baba yao hairudi mioyoni mwao.
1. Umeoa mke, na umezaa naye watoto watano, wengine wako shule ya msingi wengine chekechea
2. una tabia ya ulevi kila mtu mtaani anakujua.
3. mara nyingi unarudi umejichafua haja kubwa kenye suruali, harufu inaanzia getini unapoletwa, unakojoaa kitandani ukilala kwasababu umekunywa bia lita kumi zikakwangua chakula tumboni hadi kwenye rectum. ndo maana unaendesha bila kujipendea mbele za watoto.
4. watoto kila siku wanakuona unarudi umejinyeaa, umeloa mikojo, pengine huletwa na tolori au tax
5. wakati mwingine ukiwa home umelewa unatoka sebuleni kwa watoto unakojoa sebuleni ukifikiri ni chooni kwasababu ya ulevi. watoto wanayaona maungo yako.
6. watoto wameyaona maungo yako ya siri, wameshakuona ukiwa uchi, wamekuchoka kuona umejisaidia ovyoovyo..
7. Mke na watoto wako uncomfortable kwasababu mtaani wanachekwa kuwa wanaishi na baba anayejinyeaa na kujikojolea ovyoovyo. mke anavumilia, watoto wanaona aibu.
UTAJISIKIAJE KUISHI NA WATOTO wakati wameiona aibu yako namna hii? kama ilivyokuwa kwa Nuhu baba yake kina Ham Jafeti na shemu?
NB: hii imetokea kabisa kwa mbaba mmoja anakaa kule mbezi ya kimara, na mwingine anakaa kihesa Iringa. nimeshuhudia kwa macho yangu akiwa amejinyea..yule wa iringa ni kwasababu ya ulanzi, huyu wa mbezi hapa dar, ni mapombe tu. watoto wake hawamheshimu kabisa yaani hata wajitahidi kumheshimu hadhi ya baba yao hairudi mioyoni mwao.