C.K
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 394
- 162
Uchaguzi umepita..! hatuna namna tena zaidi ya kukubali kubeba zigo letu tena- CCM na JK wake kwa miaka mingine 5. Niliwaza kuhama nchi nikakae huko ... mpaka miaka hiyo ipite, lakini baadae nikajirudi kwamba mzalendo wa kweli hapendi kukaa mbali na nchi na watu wake.
Ninachozidi kugundua ni kwamba CHADEMA pekee ndicho chama chenye nia dhabiti ya kuleta ukombozi wa kweli dhidi ya UMASKINI wa watanzania kwa kuondoa kikwazo kikubwa cha maendeleo ya nchi yetu - UFISADI i.e ubadhilifu wa mali za nchi.
Sambamba na kupambana mpaka tupate tume huru ya uchaguzi- NEC, pia tuwachangie mawazo na mikakati wawakilishi wetu (wabunge) na viongozi wote wa CHADEMA mpaka kieleweke 2015. Let's not get tired, we hv just started. Tunaye kamanda wa ukweli - Dr. Slaa ambaye baada ya Nyerere yeye ndiyo rais wangu wa sasa. Mkombozi wa nchi hii ni wewe.., dont undermine yrself. Tembelea tovuti ya chama chetu - CHADEMA, www.chadema.or.tz kisha toa mchango wako. TOGETHER WE CAN!, PEEEEOPLE'S!!!!!!!
Ninachozidi kugundua ni kwamba CHADEMA pekee ndicho chama chenye nia dhabiti ya kuleta ukombozi wa kweli dhidi ya UMASKINI wa watanzania kwa kuondoa kikwazo kikubwa cha maendeleo ya nchi yetu - UFISADI i.e ubadhilifu wa mali za nchi.
Sambamba na kupambana mpaka tupate tume huru ya uchaguzi- NEC, pia tuwachangie mawazo na mikakati wawakilishi wetu (wabunge) na viongozi wote wa CHADEMA mpaka kieleweke 2015. Let's not get tired, we hv just started. Tunaye kamanda wa ukweli - Dr. Slaa ambaye baada ya Nyerere yeye ndiyo rais wangu wa sasa. Mkombozi wa nchi hii ni wewe.., dont undermine yrself. Tembelea tovuti ya chama chetu - CHADEMA, www.chadema.or.tz kisha toa mchango wako. TOGETHER WE CAN!, PEEEEOPLE'S!!!!!!!