malifimbo
Senior Member
- Apr 2, 2013
- 127
- 29
Jamani kama kuna kazi mahali unajua naweza kufanya naomba uniPM namba yako ili niweze kuwasiliana nawe kwa msaada zaidi.Mimi niemaliza chuo kikuu mwaka huu.
Sichagui kazi ila iwe ndani ya uwezo wangu.maana kukaa nyumba mtt wa kiume sio ishu .asanteni ,nawasilisha hoja...........
Sichagui kazi ila iwe ndani ya uwezo wangu.maana kukaa nyumba mtt wa kiume sio ishu .asanteni ,nawasilisha hoja...........