Tusaidiane figure hizi za kura Igunga jamani mi nimeshindwa!

Pawaga,

Magazeti ndiyo yamewakosea wasomaji!

Kwa maana hata "Daily News", wametaja matokeo ya Wagombea wa CUF,CCM, & CHADEMA, halafu wakaandika "... while other candidates shared less than 500 votes"... Lakini kwa mujbu wa matokeo ya Tume ya Uchaguzi .. "Other Candidates shared more than 500 votes"
 
Magayane alikuwa na wenge sijui la nini kutamka hovyo bila kusoma maana yeye kura 2000 kaziona lakini mbili .Alitokea kwenye pombe huyu .Mwaka huu hawakatizi manaa kila kitu kinakuwa documented sasa wacha twende mahakamani .
 
Mkuu usiumize kichwa kuwajibu hao waliopata F hesabu,ni kweli kuna utofauti wa kura 83,Nec na nape ni vilaza kweli wameshindwa kubalance mahesabu washaumbuka haaaaaaaa ngoja tuwasubiri chadema walifikishe kwa NEC,CHakachua nichakachue nakutua nec pwaaaaaaaaaaaa
hahahahaa mkuu savimbi jr, big up sana
 
Hbr,jamani hvi hii imeshindwa kutumia hata kalkuleta kupiga hesabu za kura?.

According to mwananchi na tanzania daima... wananchi waliojitokeza kupiga kura ni 53672 na zilizoharibika ni 1185 yan kura halali ni 52487 na mchanganua ni CCM-26484,CDM-23260,CUF-2104,AFP-235,CHAUSTA-182,DP-76 NA SAU-63 zinakupa jumla ya 52404.

Jaman kula halali 52487 ni tofauti ya 83,.je 83 zimeenda wapi?,hata kama 83 ni kura chache je hazipunguz imani ya watu kwa tume?,au ndo walichakachukua vibaya wakasahau kubalance data?.
Wewe ndio umefanya makosa ktk kunukuu - Kura 63 hapo juu ni za UPDP ambayo hukuki orodhesha na kura 83 unazozitafuta ni za SAU. Yyama viko vinane sio saba.
 
[JFMP3]http://www.dullonet.com/wp-content/uploads/2011/10/magayane-matokeo.mp3[/JFMP3]
hiyo sauti ya Magayane
Mkuu nimefuatillia hiyo sauti ya Magayane kwa kweli kuna haja ya kwenda Mahakamani. Aliyepata kura 235 ametamka ( laki mbili thelathini na tano) na yule aliyepata kura 182 ametamka ( laki moja themanini na mbili ) hii haiingii akilini hata kidogo. Hebu makamanda wetu CDM tuhabarisheni kuhusu hili. Kumbe ndiyo maana mtihani wa hesabu kuna majibu ya kuchagua A, B, C, A&B yote sawa. Kazi kweli kweli.
 
mkuu,mi nimepitia kwa umakini na nimeona hyo tofauti ya kura 83 bwana,ni vizur tukajua zimeenda wapi,.83 ni nying sio error

itakuwa ni zile za chopper ya mtatiro j.naamini nji hii haina haki wala demokrasia khaaa
 
Pawaga, Magazeti ndiyo yamewakosea wasomaji! Kwa maana hata "Daily News", wametaja matokeo ya Wagombea wa CUF,CCM, & CHADEMA, halafu wakaandika "... while other candidates shared less than 500 votes"... Lakini kwa mujbu wa matokeo ya Tume ya Uchaguzi .. "Other Candidates shared more than 500 votes"
baba enock,safi sana wewe umenielewesha nikaelewa kbs...asante sana lkn hata hvyo still 2nahitaji tume yenye wataalam sio kama yule jamaa wa jana
 
hivi hizo 83 zikiongezwa Chadema watakuwa wameshinda?
jamaa una elim gan?,nani amesema 83 zitaipa ushind CDM?. Tunajiuliza 83 zipo wapi?.soma uelewe ndo uchangie sio unakurupuka hvi huona unajishushia hadhi kama tume ya uchaguz ilivyofanya jana?.
 

hata mimi napata kigugumizi hasa nikisiliza msimamizi wa uchaguzi wakati akitangza matokeo. kama mlikuwa makini, kuna chama alikip[a kura LAKI MBILI na usheee hivi na kingine akakipa laki moja na zaidi. Cha kushangaza si wa laki mbili wala wa laki moja aliyetangazwa mshindi bali ni KAFUMU wa CCM aliyepata kura 56 elfu.

kama kuna mtu alipata recording ya kutangaza matokeo, aiweke hapa tuanze kutafakari upya.

jomba uko sihihi,jamaa alitoa figure za laki na ushee kwa baadhi ya wagombea na alikuwa very confidnt..shame on hm
 
chama
kura
%age
CCM
26,484

51
CDM
23,260

44
CUF
2,104
4
AFP
235
0.4
chausta
182
0.3
DP
76
0.1
SAU
63
0.1
jumla
52,404
100
 
MIC Haizoeleki, kuna kipindi hata Nature huwa anakosea mistari sembuse huyo jamaa yenu wa Igunga.

Matokeo ya Nape nayo hayako sawa pamoja na kusema pipoz power kwishney Matokeo Igunga.(Jumla kuu ni CCM 26266. CHADEMA 22443)
Na haya ni kata kwa kata...
Mboto CCM 730- CHADEMA 302
Nguvu moja CCM 694 CHADEMA 284
Nkinga CCM1479. CHADEMA 1085
Itumba CCM1079 CHADEMA 590
Nanga. CCM 897. CHADEMA 645
Igurubi CCM 925 CHADEMA 592
Mwisi CCM 926. CHADEMA 992
Mbutu. CCM 1186. CHADEMA 1426
Kinungu. CCM 505 CHADEMA 268
Ngulu CCM 622 CHADEMA 412
Igunga CCM 3181 CHADEMA 3358
Choma CCM 1227 CHADEMA 918
Kining. CCM 700 CHADEMA 451
Mwashiku. CCM 798 CHADEMA 484
Nsimbo CCM 738 CHADEMA 1016
Itunduru CCM 738 CHADEMA 784
Mwamashimba CCM 1224 CHADEMA 1421
Mbutu CCM 1335 CHADEMA 1427
Bukoko CCM 1136 Chadema 931
Nyandekwa CCM 691 Chadema 631
Ndembezi CCM 866 Chadema 806
Chabutwa CCM 545 Chadema 581
Ziba CCM 1053 Chadema 860
Igoweko CCM 1051 Chadema 880
Sungwizi CCM 1225 Chadema 718
Isakamaliwa CCM 525 Chadema 593
OHOOO PEOPLES POWER TENA KWISHNEI!!!!

Tume inatakiwa kuwa na watu makini ambao watakuwa ethical tofauti na sasa kwani matokeo watu waliyapata usiku wakati tume imeyatangaza kesho yake saa nane mchana,
We need changes if we want Development
 
Back
Top Bottom