crabat
JF-Expert Member
- Dec 28, 2012
- 4,322
- 2,203
Katika wagombea wana CCM 40 walio nesha nia ya kutaka kuteuliwa na chama chao kupeperusha bendera ya urai uchaguzi ujao ni January MAkamba pekee ndie mwenye uwezo wa kuijenga CCM mpya kabisa itayopendwa na na wapiga kura wapya miaka 10 ijayo.
Ni kijana mwenye uwezo katika nyanja zote. Ni msomi ambaye ataivusha ccm katika hali ya sasa ya kuanza kukataliwa na miaka 10 ijayo anaweza kabisa kuvunja umaarufu wa vyama vya siasa vilivopo.
Ni pekee asie na majungu wala kashfa ya rushwa.
Hana makundi ndani ya CCM.
Anakubalika kwa kiasi kikubwa na wasomi vijana wasomi.
Hata baadhi ya wapinzania wana muona kama turufu kubwa kwa CCM. Kama CCM inaandaa viongozi basi huyu amekomaa na ni asset kubwa sana kumtumia kukuvusheni.
Vijana wengi sasa wamechoshwa na old guards amabao ukweli hawana jipya.
Janaury anaweza kutuvusha , ni well informed person , ni kwa kiasi mwanadiplomasia makini, msikivu na mpenda watu na maendeo.
Pia ni mzalendo anaeipenda nchi yake na watu wake.
Huu ni wakati mzuri kwa ccm kama chama kikongwe na chenye uzoefu basi kuleta mapinduzi ya uongozi ili kukaribisha fikra mpya ambazo ndio muelekeo ya wapiga kura wengi wajao.
Namfananisha na Barack OBama kijana aliengia kwa gia yake ya change And yes we can.
Leo chini ya Obama kwanza amekijenga chama chake na kuna kila sababu kitarudi tena madarakani.
Pia amejaribu kupunguza uadui katika sera zake za nje.
Iran sasa wanazungumza badala ya vitisho.
Amerudisha uhusiano wa Kibalozi na Cuba baada ya zaidi ya miaka 50.
Ameujenga uchumi wa marekani ilo haribiwa na vita na magomvi na Bush. Hakika namfananisha January na Obama he will bring change to TAnzania, ukweli tunahitaji Dot.Com kutuvusha.
Mungu amsaidie na awape CCM hekima ya kuona mbali na kuachana siasa za makundi.
Ni kijana mwenye uwezo katika nyanja zote. Ni msomi ambaye ataivusha ccm katika hali ya sasa ya kuanza kukataliwa na miaka 10 ijayo anaweza kabisa kuvunja umaarufu wa vyama vya siasa vilivopo.
Ni pekee asie na majungu wala kashfa ya rushwa.
Hana makundi ndani ya CCM.
Anakubalika kwa kiasi kikubwa na wasomi vijana wasomi.
Hata baadhi ya wapinzania wana muona kama turufu kubwa kwa CCM. Kama CCM inaandaa viongozi basi huyu amekomaa na ni asset kubwa sana kumtumia kukuvusheni.
Vijana wengi sasa wamechoshwa na old guards amabao ukweli hawana jipya.
Janaury anaweza kutuvusha , ni well informed person , ni kwa kiasi mwanadiplomasia makini, msikivu na mpenda watu na maendeo.
Pia ni mzalendo anaeipenda nchi yake na watu wake.
Huu ni wakati mzuri kwa ccm kama chama kikongwe na chenye uzoefu basi kuleta mapinduzi ya uongozi ili kukaribisha fikra mpya ambazo ndio muelekeo ya wapiga kura wengi wajao.
Namfananisha na Barack OBama kijana aliengia kwa gia yake ya change And yes we can.
Leo chini ya Obama kwanza amekijenga chama chake na kuna kila sababu kitarudi tena madarakani.
Pia amejaribu kupunguza uadui katika sera zake za nje.
Iran sasa wanazungumza badala ya vitisho.
Amerudisha uhusiano wa Kibalozi na Cuba baada ya zaidi ya miaka 50.
Ameujenga uchumi wa marekani ilo haribiwa na vita na magomvi na Bush. Hakika namfananisha January na Obama he will bring change to TAnzania, ukweli tunahitaji Dot.Com kutuvusha.
Mungu amsaidie na awape CCM hekima ya kuona mbali na kuachana siasa za makundi.