kutokana na hali ya kisiasa nchini mimi naona ni bora tukirudi kwenye chama kimoja ,kwanza 20% tu ndio walitaka vyama vingi the rest hawakutaka.kwanza nani kasema demokrasia lazima iwe ya vyama vingi kama sio propaganda za wazungu,vyama vingi vinagawa watu badala ya kuwaunganisha ,vinawagawa katika misingi ya dini,rangi,ukanda ,ukabila.