Elius W Ndabila
JF-Expert Member
- Jul 17, 2019
- 322
- 645
Mwaka jana ilisemekana na ndivyo hadi leo inaminka kuwa MO alitekwa. Nimesema inasadikika kwa kuwa hadi leo watekaji hawakukamatwa na MO alirudishwa.
Jana Mo baada ya mechi ya Simba na Mtibwa kule Zanzibar aliandika twitter kuwa anachia nafasi ya uenyekiti kwenye bodi. Leo mida ya saa nne amesema ilikuwa bahati mbaya na ameamua kurudi kwenye nafasi yake ya uenyekiti. Watoto wa vijijini wanasema kujirudishia Uenyekiti ni kuji PROF LIPUMBA.
Ukiunganisha doti ni kuwa mwaka jana eti alitekwa na akarudishwa, mwaka huu kafungua mwaka kwa kuachia Uenyekiti na kujirudishia. Hebu tabiri mwaka kesho atakuja na nini kipya?
Jana Mo baada ya mechi ya Simba na Mtibwa kule Zanzibar aliandika twitter kuwa anachia nafasi ya uenyekiti kwenye bodi. Leo mida ya saa nne amesema ilikuwa bahati mbaya na ameamua kurudi kwenye nafasi yake ya uenyekiti. Watoto wa vijijini wanasema kujirudishia Uenyekiti ni kuji PROF LIPUMBA.
Ukiunganisha doti ni kuwa mwaka jana eti alitekwa na akarudishwa, mwaka huu kafungua mwaka kwa kuachia Uenyekiti na kujirudishia. Hebu tabiri mwaka kesho atakuja na nini kipya?