Mamserenger
JF-Expert Member
- Oct 14, 2019
- 1,157
- 2,078
Wakubwa wazo nalo liona bora kuukuza mtandao wetu huu pendwa na kuwa ndo mtandao mkubwa na wenye Gharama nafuu sanaa.
Kwakuwa utahudumiwa na Serikali kisha na mwananchi atachangia kwa unafuu wa kile kifurushi anacho kiitajii.
Kwani hii mitandao mingine imekuwa fimbo na kujifanyia vile inavyotaka eti tuu inalipa kodi kwa Serikali.
Mkombozi ni TTCL tuu na imilikiwe na Serikali na Budget yake itengwe na serikali.
Tofauti ya hivyo tutaliaa sanaaa
Kwakuwa utahudumiwa na Serikali kisha na mwananchi atachangia kwa unafuu wa kile kifurushi anacho kiitajii.
Kwani hii mitandao mingine imekuwa fimbo na kujifanyia vile inavyotaka eti tuu inalipa kodi kwa Serikali.
Mkombozi ni TTCL tuu na imilikiwe na Serikali na Budget yake itengwe na serikali.
Tofauti ya hivyo tutaliaa sanaaa