#COVID19 Tupuuze uzushi wa Mitandaoni, Tanzania hatuna Corona - Prof. Mchembe

Kule kwetu Ukimwi ulipoingia wazee hawakuuita moja kwa moja Ukimwi badala yake wakiita "Ugonjwa wa Bara" maana ugonjwa uliotoka Tanzania bara, ilikuwa mtu akifa kwa huo ugonjwa walikuwa wanasema kafa kwa ugonjwa wa Bara, mpaka leo hii hutumia neno hili ili kuficha ukali wa ugonjwa wa ukimwi, wengine walikuwa wakiita "ugonjwa wa sasa" wengine utaskia kafa kwa huu "ugonjwa ulioingia".

Nadhan sasa tufike mahali na hii corona nayo tuipe jina la ugonjwa wa "ukosefu wa kupumua" au mara chache tuite "homa ya Nyumonia" tufiche yale makali kama mhe Waziri nitakuwa nimemfahamu vizuri hapo juu.
 
Huenda hapa Tanzania kuna maprofesa huwa wanapigwa miti kimasihara sana.

Yaani katikati ya vifo na mateso yanayotokana na maambukizi ya Corona hapa Tanzania halafu kuna mtu anasema Tanzania hakuna Corona! How?
Akili yote ya nchi hii iko controlled na mtu moja... Hiyo ndiyo awamu tuliyopo!!
 
Na WAMJW- DSM

Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Prof. Mabula Mchembe amewataka Wananchi kupuuza taarifa zinazozagaa kupitia mitandao ya kijamii juu ya uwepo wa wagonjwa wa Corona katika mkoa wa Dar es Salaam na wamelazwa hospitali ya Muhimbili na Mloganzila, na kusisitiza kuwa sio kila tatizo la mfumo wa upumuaji ni ugonjwa wa Corona.

Prof. Mchembe amesisitiza hilo leo wakati alipofanya ziara katika Hospitali ya Mloganzila na Muhimbili ili kujua ukweli juu ya taarifa hizo, na kubaini kuwa taarifa hizo sio sahihi na zinapaswa zipuuzwe ili kuondoa hofu kwa wananchi.

"Nimeweza kupita Hospitali ya Mloganzila na pia nimepita hapa Muhimbili, kuweza kukutana na wafanyakazi ili kuongea nao pia kusikia changamoto wanazopata, tumeweza kupita kwenye wodi ili kuona matatizo yaliyopo na kuona wagonjwa waliopo na kujiridhisha kwamba sio kila wagonjwa waliolazwa Hospitali wana ugonjwa wa Corona kama ambavyo inasemekana kwenye mitandao." Amesema Prof. Mchembe.

Aliendelea kusema kuwa, kuna wagonjwa waliolazwa wana matatizo ya kupungukiwa damu, wapo waliolazwa wana matatizo ya mfumo wa kupumua, kuna wengine wamelazwa wana matatizo ya ajali, wengine matatizo ya kuanguja(kifafa), wengine wa seli mundu na hata wengine wana Athma, lakini wote hawa ukijumlisha dalili zao za ugonjwa zinaweza kufanana, wapo wanaoumwa kichwa, wapo wenye mafua, mwingine anashindwa kupumua kutegemea na mwili wake.

Aidha, Prof. Mchembe aliweka wazi kuwa, hali ya kufanya kazi ya Watumishi katika kutoa huduma kwenye Hospitali hizo ipo juu, huku wakiendelea kuwahudumia wagonjwa wote kama kawaida bila hofu yoyote na wala bila kuvaa mavazi yoyote ya kujikinga dhidi ya ugonjwa wa Corona.

"Utaona wafanyakazi wetu wa sasa hivi, hali ya ufanyaji kazi ni nzuri (morally) na sio uwoga unaojengwa katika mitandao, kwa sababu mnawaona Wataalamu wenzetu wanawahudumia wagonjwa kama kawaida bila hofu na wala hawajavaa hayo mavazi ambayo yalikuwa yanaonekana wakati ule, zaidi ya kuvaa gloves, kuvaa mask pale anapomhudumia mgonjwa jambo ambalo ni kawaida na ni utaratibu wa Hospitali" amesema Prof. Mchembe

Ametoa wito kwa Jamii kutotumia mitandao kuwaogopesha na kuwadhariilisha wagonjwa wengine waliopo kwenye wodi kupata huduma za matibabu ya Afya zao, huku akikumbusha kuwa binadamu yoyote ni mgonjwa mtarajiwa hivyo ni vyema kutunza na kulinda utu wake.

Hata hivyo, Prof. Mchembe amewapongeza Watoa huduma za Afya wote nchini kwa kuendelea kuwahudumia wagonjwa kwa hali na mali licha ya baadhi ya changamoto ndogo ndogo zilizopo katika maeneo ua kutolea huduma za Afya.

Mbali na hayo, Prof. Mchembe ametoa rai kwa Jamii kujenga tabia ya kuchangia damu ili kuokoa maisha ya mahitaji, hasa akina mama wajawazito, huku akisisitiza kuwa damu hainunuliwi dukani Bali inatoka kwa binadamu mmoja kwenda kwa mwingine.

"Damu hainunuliwi dukani, damu inatoka kwa binadamu mwingine, niombe sana kwa jamii, tujitoe katika kutoa damu kwa wengine, tuna Watoto wetu, tuna dada zetu, tuna shangazi zetu ambao ni wajawazito, na mahitaji makubwa ya damu yapo kwa kina mama wajawazito, hivyo kwa Jamii iwe ni kitu cha kawaida kutoa damu ila kusaidia" amesema Prof. Mchembe.
Natamani huyo Prof akambusu mgonjwa mmojawapo anayesema ana matatizo ya mfumo wa upumuaji alafu atupe majibu baada ya siku nne tuuu 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Siasa wakati mwingine ni aibu iliyopitiliza.
 
Kwa hiyo wale watanzania waliokwenda kutafuta chanjo ya corona wakatuletea corona ile haikuwa corona? .
 
Ujinga
Na WAMJW- DSM

Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Prof. Mabula Mchembe amewataka Wananchi kupuuza taarifa zinazozagaa kupitia mitandao ya kijamii juu ya uwepo wa wagonjwa wa Corona katika mkoa wa Dar es Salaam na wamelazwa hospitali ya Muhimbili na Mloganzila, na kusisitiza kuwa sio kila tatizo la mfumo wa upumuaji ni ugonjwa wa Corona.

Prof. Mchembe amesisitiza hilo leo wakati alipofanya ziara katika Hospitali ya Mloganzila na Muhimbili ili kujua ukweli juu ya taarifa hizo, na kubaini kuwa taarifa hizo sio sahihi na zinapaswa zipuuzwe ili kuondoa hofu kwa wananchi.

"Nimeweza kupita Hospitali ya Mloganzila na pia nimepita hapa Muhimbili, kuweza kukutana na wafanyakazi ili kuongea nao pia kusikia changamoto wanazopata, tumeweza kupita kwenye wodi ili kuona matatizo yaliyopo na kuona wagonjwa waliopo na kujiridhisha kwamba sio kila wagonjwa waliolazwa Hospitali wana ugonjwa wa Corona kama ambavyo inasemekana kwenye mitandao." Amesema Prof. Mchembe.

Aliendelea kusema kuwa, kuna wagonjwa waliolazwa wana matatizo ya kupungukiwa damu, wapo waliolazwa wana matatizo ya mfumo wa kupumua, kuna wengine wamelazwa wana matatizo ya ajali, wengine matatizo ya kuanguja(kifafa), wengine wa seli mundu na hata wengine wana Athma, lakini wote hawa ukijumlisha dalili zao za ugonjwa zinaweza kufanana, wapo wanaoumwa kichwa, wapo wenye mafua, mwingine anashindwa kupumua kutegemea na mwili wake.

Aidha, Prof. Mchembe aliweka wazi kuwa, hali ya kufanya kazi ya Watumishi katika kutoa huduma kwenye Hospitali hizo ipo juu, huku wakiendelea kuwahudumia wagonjwa wote kama kawaida bila hofu yoyote na wala bila kuvaa mavazi yoyote ya kujikinga dhidi ya ugonjwa wa Corona.

"Utaona wafanyakazi wetu wa sasa hivi, hali ya ufanyaji kazi ni nzuri (morally) na sio uwoga unaojengwa katika mitandao, kwa sababu mnawaona Wataalamu wenzetu wanawahudumia wagonjwa kama kawaida bila hofu na wala hawajavaa hayo mavazi ambayo yalikuwa yanaonekana wakati ule, zaidi ya kuvaa gloves, kuvaa mask pale anapomhudumia mgonjwa jambo ambalo ni kawaida na ni utaratibu wa Hospitali" amesema Prof. Mchembe

Ametoa wito kwa Jamii kutotumia mitandao kuwaogopesha na kuwadhariilisha wagonjwa wengine waliopo kwenye wodi kupata huduma za matibabu ya Afya zao, huku akikumbusha kuwa binadamu yoyote ni mgonjwa mtarajiwa hivyo ni vyema kutunza na kulinda utu wake.

Hata hivyo, Prof. Mchembe amewapongeza Watoa huduma za Afya wote nchini kwa kuendelea kuwahudumia wagonjwa kwa hali na mali licha ya baadhi ya changamoto ndogo ndogo zilizopo katika maeneo ua kutolea huduma za Afya.

Mbali na hayo, Prof. Mchembe ametoa rai kwa Jamii kujenga tabia ya kuchangia damu ili kuokoa maisha ya mahitaji, hasa akina mama wajawazito, huku akisisitiza kuwa damu hainunuliwi dukani Bali inatoka kwa binadamu mmoja kwenda kwa mwingine.

"Damu hainunuliwi dukani, damu inatoka kwa binadamu mwingine, niombe sana kwa jamii, tujitoe katika kutoa damu kwa wengine, tuna Watoto wetu, tuna dada zetu, tuna shangazi zetu ambao ni wajawazito, na mahitaji makubwa ya damu yapo kwa kina mama wajawazito, hivyo kwa Jamii iwe ni kitu cha kawaida kutoa damu ila kusaidia" amesema Prof. Mchembe.
Mjinga tu huyo, eti tupuuze ili kuwaondoa watu hofu, yaani syo tupuuze na kuchukua hatua za kujikinga.
Rubbish statement
 
Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Prof. Mabula Mchembe amewataka Wananchi kupuuza taarifa zinazozagaa kupitia mitandao ya kijamii juu ya uwepo wa wagonjwa wa Corona katika mkoa wa Dar es Salaam na wamelazwa hospitali ya Muhimbili na Mloganzila, na kusisitiza kuwa sio kila tatizo la mfumo wa upumuaji ni ugonjwa wa Corona.
Anayasema hayo kwakuwa yumo ndani ya mfumo, nje ya mfumo na hasa akipoteza ndugu wa karibu atajutia maneno yake
 
Na WAMJW- DSM

Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Prof. Mabula Mchembe amewataka Wananchi kupuuza taarifa zinazozagaa kupitia mitandao ya kijamii juu ya uwepo wa wagonjwa wa Corona katika mkoa wa Dar es Salaam na wamelazwa hospitali ya Muhimbili na Mloganzila, na kusisitiza kuwa sio kila tatizo la mfumo wa upumuaji ni ugonjwa wa Corona.

Prof. Mchembe amesisitiza hilo leo wakati alipofanya ziara katika Hospitali ya Mloganzila na Muhimbili ili kujua ukweli juu ya taarifa hizo, na kubaini kuwa taarifa hizo sio sahihi na zinapaswa zipuuzwe ili kuondoa hofu kwa wananchi.

"Nimeweza kupita Hospitali ya Mloganzila na pia nimepita hapa Muhimbili, kuweza kukutana na wafanyakazi ili kuongea nao pia kusikia changamoto wanazopata, tumeweza kupita kwenye wodi ili kuona matatizo yaliyopo na kuona wagonjwa waliopo na kujiridhisha kwamba sio kila wagonjwa waliolazwa Hospitali wana ugonjwa wa Corona kama ambavyo inasemekana kwenye mitandao." Amesema Prof. Mchembe.

Aliendelea kusema kuwa, kuna wagonjwa waliolazwa wana matatizo ya kupungukiwa damu, wapo waliolazwa wana matatizo ya mfumo wa kupumua, kuna wengine wamelazwa wana matatizo ya ajali, wengine matatizo ya kuanguja(kifafa), wengine wa seli mundu na hata wengine wana Athma, lakini wote hawa ukijumlisha dalili zao za ugonjwa zinaweza kufanana, wapo wanaoumwa kichwa, wapo wenye mafua, mwingine anashindwa kupumua kutegemea na mwili wake.

Aidha, Prof. Mchembe aliweka wazi kuwa, hali ya kufanya kazi ya Watumishi katika kutoa huduma kwenye Hospitali hizo ipo juu, huku wakiendelea kuwahudumia wagonjwa wote kama kawaida bila hofu yoyote na wala bila kuvaa mavazi yoyote ya kujikinga dhidi ya ugonjwa wa Corona.

"Utaona wafanyakazi wetu wa sasa hivi, hali ya ufanyaji kazi ni nzuri (morally) na sio uwoga unaojengwa katika mitandao, kwa sababu mnawaona Wataalamu wenzetu wanawahudumia wagonjwa kama kawaida bila hofu na wala hawajavaa hayo mavazi ambayo yalikuwa yanaonekana wakati ule, zaidi ya kuvaa gloves, kuvaa mask pale anapomhudumia mgonjwa jambo ambalo ni kawaida na ni utaratibu wa Hospitali" amesema Prof. Mchembe

Ametoa wito kwa Jamii kutotumia mitandao kuwaogopesha na kuwadhariilisha wagonjwa wengine waliopo kwenye wodi kupata huduma za matibabu ya Afya zao, huku akikumbusha kuwa binadamu yoyote ni mgonjwa mtarajiwa hivyo ni vyema kutunza na kulinda utu wake.

Hata hivyo, Prof. Mchembe amewapongeza Watoa huduma za Afya wote nchini kwa kuendelea kuwahudumia wagonjwa kwa hali na mali licha ya baadhi ya changamoto ndogo ndogo zilizopo katika maeneo ua kutolea huduma za Afya.

Mbali na hayo, Prof. Mchembe ametoa rai kwa Jamii kujenga tabia ya kuchangia damu ili kuokoa maisha ya mahitaji, hasa akina mama wajawazito, huku akisisitiza kuwa damu hainunuliwi dukani Bali inatoka kwa binadamu mmoja kwenda kwa mwingine.

"Damu hainunuliwi dukani, damu inatoka kwa binadamu mwingine, niombe sana kwa jamii, tujitoe katika kutoa damu kwa wengine, tuna Watoto wetu, tuna dada zetu, tuna shangazi zetu ambao ni wajawazito, na mahitaji makubwa ya damu yapo kwa kina mama wajawazito, hivyo kwa Jamii iwe ni kitu cha kawaida kutoa damu ila kusaidia" amesema Prof. Mchembe.
Hawa maprofesa wa CCM mpya nani aliyewaroga?
 
Huenda hapa Tanzania kuna maprofesa huwa wanapigwa miti kimasihara sana.

Yaani katikati ya vifo na mateso yanayotokana na maambukizi ya Corona hapa Tanzania halafu kuna mtu anasema Tanzania hakuna Corona! How?
Hawa watu wana laana kubwa sn ningekuwa MUNGU ningechapa na huu ugonjwa yeye na familia yake mpaka akili zirudi
 
Na WAMJW- DSM

Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Prof. Mabula Mchembe amewataka Wananchi kupuuza taarifa zinazozagaa kupitia mitandao ya kijamii juu ya uwepo wa wagonjwa wa Corona katika mkoa wa Dar es Salaam na wamelazwa hospitali ya Muhimbili na Mloganzila, na kusisitiza kuwa sio kila tatizo la mfumo wa upumuaji ni ugonjwa wa Corona.

Prof. Mchembe amesisitiza hilo leo wakati alipofanya ziara katika Hospitali ya Mloganzila na Muhimbili ili kujua ukweli juu ya taarifa hizo, na kubaini kuwa taarifa hizo sio sahihi na zinapaswa zipuuzwe ili kuondoa hofu kwa wananchi.

"Nimeweza kupita Hospitali ya Mloganzila na pia nimepita hapa Muhimbili, kuweza kukutana na wafanyakazi ili kuongea nao pia kusikia changamoto wanazopata, tumeweza kupita kwenye wodi ili kuona matatizo yaliyopo na kuona wagonjwa waliopo na kujiridhisha kwamba sio kila wagonjwa waliolazwa Hospitali wana ugonjwa wa Corona kama ambavyo inasemekana kwenye mitandao." Amesema Prof. Mchembe.

Aliendelea kusema kuwa, kuna wagonjwa waliolazwa wana matatizo ya kupungukiwa damu, wapo waliolazwa wana matatizo ya mfumo wa kupumua, kuna wengine wamelazwa wana matatizo ya ajali, wengine matatizo ya kuanguja(kifafa), wengine wa seli mundu na hata wengine wana Athma, lakini wote hawa ukijumlisha dalili zao za ugonjwa zinaweza kufanana, wapo wanaoumwa kichwa, wapo wenye mafua, mwingine anashindwa kupumua kutegemea na mwili wake.

Aidha, Prof. Mchembe aliweka wazi kuwa, hali ya kufanya kazi ya Watumishi katika kutoa huduma kwenye Hospitali hizo ipo juu, huku wakiendelea kuwahudumia wagonjwa wote kama kawaida bila hofu yoyote na wala bila kuvaa mavazi yoyote ya kujikinga dhidi ya ugonjwa wa Corona.

"Utaona wafanyakazi wetu wa sasa hivi, hali ya ufanyaji kazi ni nzuri (morally) na sio uwoga unaojengwa katika mitandao, kwa sababu mnawaona Wataalamu wenzetu wanawahudumia wagonjwa kama kawaida bila hofu na wala hawajavaa hayo mavazi ambayo yalikuwa yanaonekana wakati ule, zaidi ya kuvaa gloves, kuvaa mask pale anapomhudumia mgonjwa jambo ambalo ni kawaida na ni utaratibu wa Hospitali" amesema Prof. Mchembe

Ametoa wito kwa Jamii kutotumia mitandao kuwaogopesha na kuwadhariilisha wagonjwa wengine waliopo kwenye wodi kupata huduma za matibabu ya Afya zao, huku akikumbusha kuwa binadamu yoyote ni mgonjwa mtarajiwa hivyo ni vyema kutunza na kulinda utu wake.

Hata hivyo, Prof. Mchembe amewapongeza Watoa huduma za Afya wote nchini kwa kuendelea kuwahudumia wagonjwa kwa hali na mali licha ya baadhi ya changamoto ndogo ndogo zilizopo katika maeneo ua kutolea huduma za Afya.

Mbali na hayo, Prof. Mchembe ametoa rai kwa Jamii kujenga tabia ya kuchangia damu ili kuokoa maisha ya mahitaji, hasa akina mama wajawazito, huku akisisitiza kuwa damu hainunuliwi dukani Bali inatoka kwa binadamu mmoja kwenda kwa mwingine.

"Damu hainunuliwi dukani, damu inatoka kwa binadamu mwingine, niombe sana kwa jamii, tujitoe katika kutoa damu kwa wengine, tuna Watoto wetu, tuna dada zetu, tuna shangazi zetu ambao ni wajawazito, na mahitaji makubwa ya damu yapo kwa kina mama wajawazito, hivyo kwa Jamii iwe ni kitu cha kawaida kutoa damu ila kusaidia" amesema Prof. Mchembe.
Professor Mchembe hapa alidharirisha elimu yake ili kumridhisha Dikteta mjinga mmoja
 
Hivi tz wakifa hata watu 100 kwa covid kila siku watu tutashindwa kujua kweli?

Shughuli za mazishi huko makaburini zimeongezeka kwa kiwango gani? Makaburi mapya yanaongezeka mangapi kila siku kwenye eneo lenu?

Corona ipo lakini si kiwango tunachotka kuaminishana.
We mpumbavu uliandika haya kabla mungu wenu wa Chato haijamchukua 17/03/21.
 
Professor Mchembe hapa alidharirisha elimu yake ili kumridhisha Dikteta mjinga mmoja
Ikowapi hiyo corona sasa? Pro. alikuwa sahihi, corona ilikuzwa mno zaidi ya uhalisia, wengi waliokufa kwa magonjwa mengine walikuwa labeled wamekufa kwa corona. Walizuia dawa zote (mf ivermectin) ambazo zingesaidia ku surpress sars cov 2 virus infection ili corona ikuzwe, kama siyo usanii ni nini? Yote hiyo ili kutenegneza taharuki ili walete chanjo za mNRA ili agenda yao itimie.
 
Kwangu Prof na Hayati ni mashujaa kwa nchi yetu kwa jinsi walivyopambana na ugonjwa huu
 
Back
Top Bottom