CCM Music
JF-Expert Member
- Dec 5, 2018
- 1,036
- 1,782
- Thread starter
- #81
Umemjibu vema kabisa.Huyu huwezi kumuona maana haingii kwenye vikao vya kujipendekeza. Anajimudu kimaisha na anasimamia misingi ya ccm. Anasema nyie mna utoto mwingi, na hata mara nyingi huwa nakuambia ww ni bendera fuata upepo.
Wanaonana mara kwa mara ni wale CCM JAZA TUMBO' na wale CCM limbukeni na hawa ndio wanaotuharibia chama chetu.
Yaani mtu unaenda CCM ili upate teuzi na si vinginevyo. Watu hawawazi kuhusu misingi ya chama ya 'Jembe na Nyundo' kwamba kila mtu achape kazi ki vyake asitegemee chama
Wapinzani wakija na hoja zao mtaani wao hukimbilia kutumia Polisi na hata Jeshi.
Wana ujinga mwingi sana utadhani wapinzani ni kama Simba wa porini ni wala watu.
Sisi CCM huru tunaamini tukikaa one to one na wapinzani lazima wapinzani waombe maji ya kunywa maana shughuli yetu si nyepesi hoja kwa hoja.
Sasa hawa jaza tumbo na limbukeni wanatufanya CCM tuonekane kama mazombi hv