Wanajamii,.
nikiwa mmoja wa wazalendo na wapenda maendeleo ya nchi yangu, na mwanaharakati niniye guswa na matatizo yanayo ikumba jamii ya kitanzania hasa kutokana na athari za kisiasa, napenda kutumia jamii forum kuwafikia wanaharakati wote kuwa tumejitolea wenyewe kwa kusaidia na wadau wengine kuwekeza kwenye umeme,.hivyo tunawaomba watu wote kama wewe, au unamfahamu mtanzania anae miliki eneo kihalali eneo lenye makaa ya mawe (coal) basi awasiliane nasisi kupitia jamii forum..aache namba yake ya simu au email yake tutampigia ili tufanye naepartnership au kutuuzia maeneo yake ya makaa ya mawe ili sisi tuyatumie kuzalisha umeme ndani ya miaka 2 baada ya kufanya DD (DUE DELLIGENCE)..sifa ya mkaa uwe na less than 0.6 sulphur, pia uwe na kuanzia 6200kcal..we pay cash after DD.
thanks
acha email yako, au namba ya simu hapa au tuma contact zako kwenda 0757 74 50 65..thanks..
nikiwa mmoja wa wazalendo na wapenda maendeleo ya nchi yangu, na mwanaharakati niniye guswa na matatizo yanayo ikumba jamii ya kitanzania hasa kutokana na athari za kisiasa, napenda kutumia jamii forum kuwafikia wanaharakati wote kuwa tumejitolea wenyewe kwa kusaidia na wadau wengine kuwekeza kwenye umeme,.hivyo tunawaomba watu wote kama wewe, au unamfahamu mtanzania anae miliki eneo kihalali eneo lenye makaa ya mawe (coal) basi awasiliane nasisi kupitia jamii forum..aache namba yake ya simu au email yake tutampigia ili tufanye naepartnership au kutuuzia maeneo yake ya makaa ya mawe ili sisi tuyatumie kuzalisha umeme ndani ya miaka 2 baada ya kufanya DD (DUE DELLIGENCE)..sifa ya mkaa uwe na less than 0.6 sulphur, pia uwe na kuanzia 6200kcal..we pay cash after DD.
thanks
acha email yako, au namba ya simu hapa au tuma contact zako kwenda 0757 74 50 65..thanks..