Phd Hewa
JF-Expert Member
- Oct 3, 2016
- 572
- 466
Ni miezi zaidi ya 5 wilayani Ruangwa umeme haujawahi kukesha lakini jana kuhamkia leo ni furaha
kwa siku hizi tatu ambazo atakuwa na ziara wilayani hapa nafurahi juice zetu hatuta mwaga kama inavyotutokeaga siku zote
ni fursa mkuu uwe unatutembelea tembelea mana ukija wewe umeme unatulia sana ila ukiondoka tu zima washa zinakua nyingi
na muda mwingine kwa siku unawaka saatano ya usiku alfajiri unazima.
kwa siku hizi tatu ambazo atakuwa na ziara wilayani hapa nafurahi juice zetu hatuta mwaga kama inavyotutokeaga siku zote
ni fursa mkuu uwe unatutembelea tembelea mana ukija wewe umeme unatulia sana ila ukiondoka tu zima washa zinakua nyingi
na muda mwingine kwa siku unawaka saatano ya usiku alfajiri unazima.