Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 14,840
- 31,583
Hello JF,
Kuna threads nyingi sana humu za kilimo, jinsi kilivyo na potential ya kubadilisha Tanzania ila wakubwa hata hawajisumbui....sasa naomba tujadili njia za kuwashtua...😥😊😊ðŸ˜
Seriously nimeona Tanzania ina depend on Agriculture by 76%, hii inamaanisha massively uchumi wetu ni Kilimo, it's time kipewe umuhimu unaostahili..
Nimenote pia 67% ya watanzania wanaishi in rural areas...
This means kama tunataka mapinduzi ya kilimo, then tu concentrate efforts vijijini....cha kushangaza vijana vijijini ndoto zao ni kuacha eneo lenye potential na kuja mjini sehemu ambayo hawana uhakika wa kupata kazi....
Serikali inaweza kuvuta makampuni huko vijijini, kwa kupunguza tax kwa kila kampuni inayofungua kazi zake vijijini, kampuni ya kilimo iwekewe kipaumbele zaidi...
Just thoughts#
Kuna threads nyingi sana humu za kilimo, jinsi kilivyo na potential ya kubadilisha Tanzania ila wakubwa hata hawajisumbui....sasa naomba tujadili njia za kuwashtua...😥😊😊ðŸ˜
Seriously nimeona Tanzania ina depend on Agriculture by 76%, hii inamaanisha massively uchumi wetu ni Kilimo, it's time kipewe umuhimu unaostahili..
Nimenote pia 67% ya watanzania wanaishi in rural areas...
This means kama tunataka mapinduzi ya kilimo, then tu concentrate efforts vijijini....cha kushangaza vijana vijijini ndoto zao ni kuacha eneo lenye potential na kuja mjini sehemu ambayo hawana uhakika wa kupata kazi....
Serikali inaweza kuvuta makampuni huko vijijini, kwa kupunguza tax kwa kila kampuni inayofungua kazi zake vijijini, kampuni ya kilimo iwekewe kipaumbele zaidi...
Just thoughts#