Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,536
- 45,771
Weekend vyuma vimekaza sina hata sh mia. Haya tupigeni story uliza chochote nitakujibu.
Ubonge wako na kibamia changu sijui kama nitafika kunako ikitokea umenipa gemuwkend vyuma vimekaza sina hata sh mia .aya tupigeni story uliza chochote nitakujibu
wkend vyuma vimekaza sina hata sh mia .aya tupigeni story uliza chochote nitakujibu
sinywi mkojo wa shetani na udendwa wa majini mkuuUbonge wako na kibamia changu sijui kama nitafika kunako ikitokea umenipa gemu haitokaa itokee
Shwari lakini?
Njoo balakuda hapa tabata unywe bia mbili
ahahaaa jomoni1. Kuna uhusiano gani kati ya sentensi ya kwanza na ya pili?
2. Kwanini unataka tukuulize maswali wakati ukiwa huna hata mia?
Ni bonge nyanya?!Ubonge wako na kibamia changu sijui kama nitafika kunako ikitokea umenipa gemu
Shwari lakini?
Njoo balakuda hapa tabata unywe bia mbili
nikulee wazazi wako wapo wapi?Michi natafuta..
Kila nikikukoti hinijibuu, Nishakwambia nakupenda nataka unilee of coz mm ni Ben saa sita..
Linj utanijibu ombi langu pm..?
Nasubiri pm yako michi wangu
Oohh sorry njoo unywe Juice za kopo na sodasinywi mkojo wa shetani na udendwa wa majini mkuu
za saa huu?nikulee wazazi wako wapo wapi?
naanza na dau la m mia tatu.yule mzee ana ndoto za asubuhi sana.pale alikuwa hajala siku tatuKwa vyuma hivyo kukaza utaweza kupiga story labda za kidocta shika
nilishawai kuwa na mahusiano matatu .sijawai kupewa hela yoyote .mimi naamini katika true love.hela zinatafutwa hata mimi natafuta .HIVI unaweza mvumilia mwanaume ambaye atoi pesa?? na unaamini ukiwa na pesa ni rahisi kupata 99% ya wadada??
weka yako kwanzaunajiamini? hebu weka picha yako hapa au hata sehemu ya mwili wako eidha kucha au hata mguu
Kwa hiyo babu Asprin ameshindwa kuvilegeza vyuma vyako?wkend vyuma vimekaza sina hata sh mia .aya tupigeni story uliza chochote nitakujibu
sifanyagi mambo hayo mkuu tafuta mwingineNataka wa kubebeshana na kupeana mgegedo
Umeshafanya ngono mara ngapi...?wkend vyuma vimekaza sina hata sh mia .aya tupigeni story uliza chochote nitakujibu