Tupige marufuku kutumia title la Dr kwa watu hawa................

meningitis

JF-Expert Member
Nov 17, 2010
8,349
4,674
wana jamvi wasalaam! leo nimeona nitoe dukudukulangu juu ya matumizi ya title Dr,nadhani tumeshuhudia watu wengi wakitumia jina hili bila kuwa na sifa stahili.mfano Dr Manyaunyau,Dr Ndodi,Dr mandakindaki n.k.i think ni wakati muafaka wa kuweka sheria inayokataza matumizi ya title hii hovyohovyo.thamani yake imeshuka sana jamani.
nawasilisha:
 
wana jamvi wasalaam! leo nimeona nitoe dukudukulangu juu ya matumizi ya title Dr,nadhani tumeshuhudia watu wengi wakitumia jina hili bila kuwa na sifa stahili.mfano Dr Manyaunyau,Dr Ndodi,Dr mandakindaki n.k.i think ni wakati muafaka wa kuweka sheria inayokataza matumizi ya title hii hovyohovyo.thamani yake imeshuka sana jamani.
nawasilisha:

profesa majimarefu je?
 
Dk Slaa jee, udokata bila hata ya kuwa na Bachelors wala masters na kasoma Diploma baada ya Udokta. Huyu hafai kabisa kuitwa Dokta.
 
wana jamvi wasalaam! leo nimeona nitoe dukudukulangu juu ya matumizi ya title Dr,nadhani tumeshuhudia watu wengi wakitumia jina hili bila kuwa na sifa stahili.mfano Dr Manyaunyau,Dr Ndodi,Dr mandakindaki n.k.i think ni wakati muafaka wa kuweka sheria inayokataza matumizi ya title hii hovyohovyo.thamani yake imeshuka sana jamani.
nawasilisha:

Nahisi title la Dr limeshuka sana heshima yake tokea lilipo anza kutumika sana na huyu mkwere mwenye wastani wa "C" pale UD
 
haina aja ya kumjali mtu na title... kunawasome na PHD`s lakini uwezo wao wa kufikiri mdo wanashindwa na form 6 leavers
 
vidokta kama kikwete................kuna watu walistaili kuitwa dokta kama nyerere lakini hakuwa mpenda makuu na misifa kama alivyo kikwete......
 
vidokta kama kikwete................kuna watu walistaili kuitwa dokta kama nyerere lakini hakuwa mpenda makuu na misifa kama alivyo kikwete......

hasa kupenda misifa bila kuwajibika
 
Mhh, yetu macho na masikio ila ninalofahamu ni kwamba ma dr.dk wa kweli wanafahamika wala tusipoteze muda kujadili. Ila ikumbukwe kwamba hii ni kada ya juu sana ki elimu hivyo kukubali kuwaita watu kwa sifa za elimu zisizo zao kukatisha tamaa watu walio pasha kwa nguvu sana kuupata u dk. kihalali.
Ni vyema kama nchi tukaliona hili ili turejeshe pamoja na mambo mengine heshima na thamani ya elimu kwani naona huu u dokta wa heshima unatumika vibaya.

Unataka kuwa dokta soma bana achana na udk wa heshima. We ni dokta wa heshima wapo kweli wanaokuhemu? Na kwa lipi ulilo fanya mpaka ukastahili heshima hiyo?
Tuache ubabaishaji jamani tunaendelea kuiangamiza nchi kwa kila kitu sababu ya kuchukulia mambo kirahisi na kwa ubinafsi.
 
Mhh, yetu macho na masikio ila ninalofahamu ni kwamba ma dr.dk wa kweli wanafahamika wala tusipoteze muda kujadili. Ila ikumbukwe kwamba hii ni kada ya juu sana ki elimu hivyo kukubali kuwaita watu kwa sifa za elimu zisizo zao kukatisha tamaa watu walio pasha kwa nguvu sana kuupata u dk. kihalali.
Ni vyema kama nchi tukaliona hili ili turejeshe pamoja na mambo mengine heshima na thamani ya elimu kwani naona huu u dokta wa heshima unatumika vibaya.

Unataka kuwa dokta soma bana achana na udk wa heshima. We ni dokta wa heshima wapo kweli wanaokuhemu? Na kwa lipi ulilo fanya mpaka ukastahili heshima hiyo?
Tuache ubabaishaji jamani tunaendelea kuiangamiza nchi kwa kila kitu sababu ya kuchukulia mambo kirahisi na kwa ubinafsi.

kweli j4!hakuna jambo tunalochukulia serious katika nchi hii.
 
Ndugu yangu fuatilia cv za watu ujue wana elimu gani,dk slaa ameenda shule,ana digrii ya sheria,masters huwez kumfananisha na dk wa uongo,dk wa kupewa JK
 
EDUCATION
School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level
International Eye H. Centre Certificate in Eye Health 1993 1993 CERTIFICATE
TransWorld Tutorial College, London Certificate in Management 1985 1985 CERTIFICATE
St. Thomas Aquinas University Advanced Diploma in Rural Development 1980 1981 ADV DIPLOMA
St. Urban University, Rome PhD (JCD) Law 1977 1981 PHD
Kipalapala Seminary Certificate in Theology 1974 1977 CERTIFICATE
Kibosho Seminary School Certificate in Philosophy 1972 1973 CERTIFICATE
Itaga Seminary School A-Level Education 1970 1971 HIGH SCHOOL
Dung'unyi Seminary School O-Level Education 1966 1969 SECONDARY
Karatu Primary School Primary Education 1962 1965 PRIMARY
Daudi Primary School Primary Education 1961 1961 PRIMARY

CV ya Dr Silaa ktk mambo ya maeducation, Naomba wa Dar es Salaam uweke CV ya Dr Jakaya Mrisho Kikwete ya masuala ya elimu.
Kwermusl Primary School(Mbulu) Primary Education 1958 1960 PRIMARY
 
EDUCATION
School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level
International Eye H. Centre Certificate in Eye Health, 1993-1993, CERTIFICATE
TransWorld Tutorial College, London Certificate in Management, 1985-1985, CERTIFICATE
St. Thomas Aquinas University Advanced Diploma in Rural Development, 1980-1981, ADV DIPLOMA
St. Urban University, Rome PhD (JCD) Law, 1977-1981, PHD
Kipalapala Seminary Certificate in Theology, 1974-1977, CERTIFICATE
Kibosho Seminary School Certificate in Philosophy, 1972-1973, CERTIFICATE
Itaga Seminary School A-Level Education, 1970-1971, HIGH SCHOOL
Dung'unyi Seminary School O-Level Education, 1966-1969, SECONDARY
Karatu Primary School Primary Education, 1962-1965, PRIMARY
Daudi Primary School Primary Education 1961 1961 PRIMARY
Kwermusl Primary School(Mbulu) Primary Education 1958 1960 PRIMARY
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom