Tupige kura ya maoni kama bado tunavihitaji vyama vingi!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,607
141,429
Yawezekana tukawa tunahitaji vyama vingi vya siasa na siyo KAMPUNI za siasa kama ilivyo sasa Tuamue tunataka aina gani ya vyama/chama kwa manufaa ya nchi siyo watu binafsi na familia zao.Karibu kwa maoni.
 
Back
Top Bottom