SUNGURA-MJANJA
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 200
- 33
Ndg zangu watanzania kwa wale wenye takwimu kamili za kiasi cha fedha kilichoibiwa na makampuni haya ya kifisadi, tuyaweke humu JF ili watz wengi tujue mali tuliyoibiwa.
1.Richmond
2.Kagoda
3.Meremeta
4.Iptl
5.Escrow
...Endeleza unayoyajua.....Nyoka akiingia ndani si kuhama nyumba ni kuua yule nyoka na kuendelea kuishi kwa amani..
1.Richmond
2.Kagoda
3.Meremeta
4.Iptl
5.Escrow
...Endeleza unayoyajua.....Nyoka akiingia ndani si kuhama nyumba ni kuua yule nyoka na kuendelea kuishi kwa amani..