MBWARI
JF-Expert Member
- Sep 8, 2021
- 464
- 721
Asante,lakini jf naifahamu karibu miaka 10+Karibu member mpya
Asante,lakini jf naifahamu karibu miaka 10+Karibu member mpya
Sina MkuuTunaomba picha ya muuwaji Jumanne na Godluck please najua uko nao tunaomba
Hakuna huo upuuzi nchi zilizoendelea, only madikteta njaa kama wa CCM ndio wanafanya hayo, kazi yao kubwa kutembeza bakuri kuomba maharage huku ardhi imejaa na kupiga wapinzani ili watawale, aibu tupuUsijidanganye ndugu, hata wewe ukiwa Rais utatumia njia yoyote ili kuwanyamazisha wapinzani wako.
Chadema ni chama ambacho kinatamani au kinataka kuingia madarakani kuongoza nchi. Sasa ccm kwa kutambua hilo lazima ajitetee kwa namna yoyote ile.
Jf haishindwi kituTunaomba picha ya muuwaji Jumanne na Godluck please najua uko nao tunaomba
roho mbaya sura mbayaKingai oneView attachment 1956557
Kumbe huyo ndiyo mtoto wa Ngunguli!!!!Yani ukimuona anaonekana kama vile binadamu,kumbe ni chui aliyejivisha ngozi ya kondoo
Sent using Jamii Forums mobile app
True mwili umekataaroho mbaya sura mbaya
Nenda urusi nenda Rwanda utakuja na jibu hapa
Zombe ? Hapo umekosea wanjiru.Huyu yatamkuta yale ya Zombe muda si mrefu,lazima alambe udongo.
Mbowe huyuhuyu ambae serikali ya ccm haijamfungulia hayo mashtaka ambayo wewe mwanamama unayajua Sana.Kama ambavyo Mbowe yanamkuta aliyo wafanyia akina Chacha Wangwe
Anazungumziwa Mahita siyo Maita.
Zombe mzee Mambwepande,hivi yuko wapi siku hizi,maana sijamsikia muda yule jamaa?
Usijidanganye ndugu, hata wewe ukiwa Rais utatumia njia yoyote ili kuwanyamazisha wapinzani wako.
Chadema ni chama ambacho kinatamani au kinataka kuingia madarakani kuongoza nchi. Sasa ccm kwa kutambua hilo lazima ajitetee kwa namna yoyote ile.
Usikariri mambo weye?Nenda urusi nenda Rwanda utakuja na jibu hapa
Zombe hana shida, ila hana raha wala farajaYupo anaweweseka tu roho za watu alizoziharibu zikimtesa
Ulishawahi kutembelea nchi ngapi duniani? Tuanzie hapaHakuna huo upuuzi nchi zilizoendelea, only madikteta njaa kama wa CCM ndio wanafanya hayo, kazi yao kubwa kutembeza bakuri kuomba maharage huku ardhi imejaa na kupiga wapinzani ili watawale, aibu tupu
Mshamba wewe zambia kuingia upinzani madarakani ushaona ya kutolea mfano. Upo shallow sanaNenda Zambia utapata majibu ya mawazo yako ya kishenzi
Hili unasema wewe, kwenye siasa na vita kila kitu ni sawaKuliko kuuwa na kuonea watu Bora kuachia madaraka kwa amani.