radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,427
- 32,196
Wangu ni huu
Kinyonga akiwa anazaa/kujifungua basi anapasuka na kufa ndipo mtoto anatoka nilikuwa naumia sana akili sasa mtoto wake anatunzwa na nani ikiwa mama lazima afe!!
Mamba akihisi njaa kama hajala na hana uhakika wa kula siku hiyo anaacha mdomo wazi nzi wanajaa kufuata harufu ya mdomo wake unaonuka basi anaufunga kisha nzi wanakuwa chakula chake
Mwingine
Mama aliniambia watoto wachanga wanaokotwa mtoni mida ya usiku kuna siku nilitoa woga nilishuka mtoni usiku saa mbili nione watoto maana mama aliniambia wanakuwa wengi mzazi unajichagulia tu cha ajabu sikuona nilipomuuliza akaniambia wameisha wao peke yao ndo wanapewa taarifa.
Wazazi ni noma wa kipindi kile 🤣🤣
Kinyonga akiwa anazaa/kujifungua basi anapasuka na kufa ndipo mtoto anatoka nilikuwa naumia sana akili sasa mtoto wake anatunzwa na nani ikiwa mama lazima afe!!
Mamba akihisi njaa kama hajala na hana uhakika wa kula siku hiyo anaacha mdomo wazi nzi wanajaa kufuata harufu ya mdomo wake unaonuka basi anaufunga kisha nzi wanakuwa chakula chake
Mwingine
Mama aliniambia watoto wachanga wanaokotwa mtoni mida ya usiku kuna siku nilitoa woga nilishuka mtoni usiku saa mbili nione watoto maana mama aliniambia wanakuwa wengi mzazi unajichagulia tu cha ajabu sikuona nilipomuuliza akaniambia wameisha wao peke yao ndo wanapewa taarifa.
Wazazi ni noma wa kipindi kile 🤣🤣