Tupia Top 4 yako kwa msimu wa EPL wa 2018/19

sasa usiseme kupoteza game sema hivi ashuke daraja hapo sawa

cityzen chairman am here
aaa najua kushuka daraja haiwezekani hata apoteze mechi zote zilizobaki. Siwezi kumuombea mabaya sana maana alitupigia chelsea juzi so as man u fan nikafurahi
 
aaa najua kushuka daraja haiwezekani hata apoteze mechi zote zilizobaki. Siwezi kumuombea mabaya sana maana alitupigia chelsea juzi so as man u fan nikafurahi
ww man u
ha ha ha ha ha

Jiandae mzee kulamba dawa

cityzen chairman am here
 
Baada ya kuwa likizo kwa miezi mitatu, hatimae ligi pendwa ya EPL inarejea kesho kwa mechi ya ufunguzi kati ya Man Utd Vs Leicester City kule Old Trafford.

Ni msimu ambao mashabiki wengi wa Man Utd wanaonekana kama hawana furaha sana na timu yao, wakichagizwa na kutokufanya kwao usajili mkubwa katika majira haya ya kiangazi.

Baadhi ya timu nyingine zimejiimarisha vizuri, Arsenal wana kocha mpya na wachezaji wapya baadhi, Man City bado wana kikosi kipana na wamemuongeza Mahrez. Liverpool nayo imejiimarisha katika idara mbalimbali ikiwemo golini kwa kumleta Alison Becker toka As Roma. Chelsea wana mwalimu mpya Maurizio Sarri.

Ifuatayo ni Top 4 yangu kuelekea msimu mpya wa 2018/2019.

1.Man City
2.Liverpool
3.Arsenal
4.Man Utd

Na Mourinho atakuwa kocha wa kwanza kutimuliwa katika vilabu vikubwa pale EPL.

Kuelekea Msimu mpya wa EPL tupia Top 4 yako hapa!
Unakaribia kupatia
 
Baada ya kuwa likizo kwa miezi mitatu, hatimae ligi pendwa ya EPL inarejea kesho kwa mechi ya ufunguzi kati ya Man Utd Vs Leicester City kule Old Trafford.

Ni msimu ambao mashabiki wengi wa Man Utd wanaonekana kama hawana furaha sana na timu yao, wakichagizwa na kutokufanya kwao usajili mkubwa katika majira haya ya kiangazi.

Baadhi ya timu nyingine zimejiimarisha vizuri, Arsenal wana kocha mpya na wachezaji wapya baadhi, Man City bado wana kikosi kipana na wamemuongeza Mahrez. Liverpool nayo imejiimarisha katika idara mbalimbali ikiwemo golini kwa kumleta Alison Becker toka As Roma. Chelsea wana mwalimu mpya Maurizio Sarri.

Ifuatayo ni Top 4 yangu kuelekea msimu mpya wa 2018/2019.

1.Man City
2.Liverpool
3.Arsenal
4.Man Utd

Na Mourinho atakuwa kocha wa kwanza kutimuliwa katika vilabu vikubwa pale EPL.

Kuelekea Msimu mpya wa EPL tupia Top 4 yako hapa!
manure wa 6 au 7.
 
Write your reply...

wote mnakosea
1. liverpool
2.man city
3.chelsea
4.spurs
5.arse nal
6.ole man u
 
Man u ikimaliza ya pili msimu unaofuata inatwaa ubingwa. Naamini itakuwa ni hivyo msimu huu pia
Hahhaahaaaaa bado mech ngap mtangaze ubingwa

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom