kajamaa kadogo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2018
- 2,184
- 4,881
sasa usiseme kupoteza game sema hivi ashuke daraja hapo sawaNdio ila bado hazitoshi. Inabidi kasi yake iendelee kupunguzwa
cityzen chairman am here
sasa usiseme kupoteza game sema hivi ashuke daraja hapo sawaNdio ila bado hazitoshi. Inabidi kasi yake iendelee kupunguzwa
aaa najua kushuka daraja haiwezekani hata apoteze mechi zote zilizobaki. Siwezi kumuombea mabaya sana maana alitupigia chelsea juzi so as man u fan nikafurahisasa usiseme kupoteza game sema hivi ashuke daraja hapo sawa
cityzen chairman am here
ww man uaaa najua kushuka daraja haiwezekani hata apoteze mechi zote zilizobaki. Siwezi kumuombea mabaya sana maana alitupigia chelsea juzi so as man u fan nikafurahi
Unakaribia kupatiaBaada ya kuwa likizo kwa miezi mitatu, hatimae ligi pendwa ya EPL inarejea kesho kwa mechi ya ufunguzi kati ya Man Utd Vs Leicester City kule Old Trafford.
Ni msimu ambao mashabiki wengi wa Man Utd wanaonekana kama hawana furaha sana na timu yao, wakichagizwa na kutokufanya kwao usajili mkubwa katika majira haya ya kiangazi.
Baadhi ya timu nyingine zimejiimarisha vizuri, Arsenal wana kocha mpya na wachezaji wapya baadhi, Man City bado wana kikosi kipana na wamemuongeza Mahrez. Liverpool nayo imejiimarisha katika idara mbalimbali ikiwemo golini kwa kumleta Alison Becker toka As Roma. Chelsea wana mwalimu mpya Maurizio Sarri.
Ifuatayo ni Top 4 yangu kuelekea msimu mpya wa 2018/2019.
1.Man City
2.Liverpool
3.Arsenal
4.Man Utd
Na Mourinho atakuwa kocha wa kwanza kutimuliwa katika vilabu vikubwa pale EPL.
Kuelekea Msimu mpya wa EPL tupia Top 4 yako hapa!
Top 4 itabaki kama ilivyokuwa msimu uliopita, isipokuwa namba zitabadilika.
1. Man City
2. Liverpool
3. Man Utd
4. Tottenham
Man City atapata tabu lakini si kwa kiwango cha kupoteza ubingwa.
Bado unanafasi ya kubadili msimamoMpaka sasa niko kwenye right track top 4 zangu.
manure wa 6 au 7.Baada ya kuwa likizo kwa miezi mitatu, hatimae ligi pendwa ya EPL inarejea kesho kwa mechi ya ufunguzi kati ya Man Utd Vs Leicester City kule Old Trafford.
Ni msimu ambao mashabiki wengi wa Man Utd wanaonekana kama hawana furaha sana na timu yao, wakichagizwa na kutokufanya kwao usajili mkubwa katika majira haya ya kiangazi.
Baadhi ya timu nyingine zimejiimarisha vizuri, Arsenal wana kocha mpya na wachezaji wapya baadhi, Man City bado wana kikosi kipana na wamemuongeza Mahrez. Liverpool nayo imejiimarisha katika idara mbalimbali ikiwemo golini kwa kumleta Alison Becker toka As Roma. Chelsea wana mwalimu mpya Maurizio Sarri.
Ifuatayo ni Top 4 yangu kuelekea msimu mpya wa 2018/2019.
1.Man City
2.Liverpool
3.Arsenal
4.Man Utd
Na Mourinho atakuwa kocha wa kwanza kutimuliwa katika vilabu vikubwa pale EPL.
Kuelekea Msimu mpya wa EPL tupia Top 4 yako hapa!
Man u hata top 5 hataingiaMpaka sasa niko kwenye right track top 4 zangu.
Labda ubingwa wa kuvuta sigaraMbna hamutabiri Chelsea kuchukua ubingwa?
Hahhaahaaaaa bado mech ngap mtangaze ubingwaMan u ikimaliza ya pili msimu unaofuata inatwaa ubingwa. Naamini itakuwa ni hivyo msimu huu pia
Huu utabiri utatimia tu...Liverpool
man city
Arsenal
Totham
Chelsea
Man u