Tupia maneno Pozi la Mkulu hapo la kushika suruali

Saint Ivuga

JF-Expert Member
Aug 21, 2008
54,377
58,384
weka maneno


5+(1).JPG
 
Suruali hiyo inaelekea ni ndefu na alikuwa anaichomoa kutoka kwenye kiatu aliikanyaga, angalia mguu wa kushoto ilivyojikunja hapo nchini ni dalili tosha kwamba ilimzidi kimo!
 
Spika Anne Makinda amevaa 'pete ya ndoa' ???
Au macho yangu yana makengeza ??
Big-up Anne (kama hatimaye 'umejikomboa' !!!! a.k.a. umepata 'muwekezaji' !!!!)
 
Mkulu anatakiwa nimchukue na nimueke kwenye duka langu maana amesimama kama sanamu.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom