Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,844
- 95,795
Hakika, tutaonana kule na kwingineko pia, ila we kwa majina magumu sikuweziKaribu tena mkuu, tutaonana kule kwetu Kapuku INC!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika, tutaonana kule na kwingineko pia, ila we kwa majina magumu sikuweziKaribu tena mkuu, tutaonana kule kwetu Kapuku INC!
Hahaha! Kuhusu haya majina tutayajenga ndugu yangu........Hakika, tutaonana kule na kwingineko pia, ila we kwa majina magumu sikuwezi
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona ametoa like lakini kapotea....
UmefungaNakuona mhenga
Njoo basi Pm
Sio kweliUmefunga
Long time mzee...!!!My pleasure.
Niko hapa nimejaa tele...@Eiyer jamanii
Nilitembelea kule juzi tu hapa,naona tunapishana tu...Saaanaa jamani, kwenye jukwaa la intelligence kule sijamuona siku mob akii
Sijawahi kubadili yuzanem mkuu,ni hii hii siku zote....Tuombe heri awe amebadili yuzaneim, la sivyo mimi sipendi kuongea hayo mengine, sipendi kabisa!
Mkuu naona huu uzi.umewaleta tena,habari ya miaka mkuu?Nipo banaaa tena mzima kabisa wa afya.