stevoh
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 2,921
- 1,104
''afrooo afroo mamaa oo mtoto wa kisagane mamaa
Salamuu uu zangu nakutumia popote ulipo zipokee
Wasalimie ndugu na wazazi wako mamaa ee
Popote walipo bibiii''
''Kolo kolola mama kolola kolola x2
Embe dodo embe dodo limelala mchanganii...''
''thamani ya mke ni mavazii kula vizuri kulala vizuri
Na sheria kudumisha ndoa na watoto wakooo AMIGOO...''
KUKOREKTI KUNARUHUSIWA...
Salamuu uu zangu nakutumia popote ulipo zipokee
Wasalimie ndugu na wazazi wako mamaa ee
Popote walipo bibiii''
''Kolo kolola mama kolola kolola x2
Embe dodo embe dodo limelala mchanganii...''
''thamani ya mke ni mavazii kula vizuri kulala vizuri
Na sheria kudumisha ndoa na watoto wakooo AMIGOO...''
KUKOREKTI KUNARUHUSIWA...