Kashaijabutege
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 2,696
- 740
- Thread starter
- #61
Ndugu zangu mlioko huko kwenye viwanja vya mapambano, hali ikoje?
Safi sana kamanda. Kuna mtu asubuhi hii ameniambia kampeni za Bagamoyo zinaendelea vizuri. Mie nitaenda huko kufanya tathmini siku ya Jumamosi.
Hapo kwenye rangi nyekundu nimefatilia kwa siku mbili kameni za kata hizo upepo ni mzuri sana kwa chadema....
Kaka Nanyaro, mie sina shaka na Arusha; wasiwasi wangu ni huko kwingine. Tunasikia CHADEMA wamesimamisha mwizi kata ya Mwawaza Shinyanga, bado hakuna jibu la maana kutoka kwa wahusika.
Arusha ina kata mbili, hali ikoje katika kata nyingine 27?
Tuzidi kumwomba Mungu chaguzi ziishe kwa amani,maana magamba wana kila hila mbaya kwa ajili ya kutetea ushindi.
Kaka sikia nikuambie CHADEMA ni Arusha mjini, Moshi Mjini,labda Mbeya Mjini kwine hakuna kitu. Wanataka kuwaaminisha wananchi tu lakini bado hawajajipanga. Wakipata ka kata kamoja basi kelele hizo.
NB: Hawawezi kuchangia thread hii maana iko direct.
jana ulikuwa Bagamoyo tupe tathimini..