Tupeni mrejesho mliowekeza kwenye mashamba ya miti

unauza bei gan mche wa paina na milongoti
Naam,
Fedha inatokana na shughuli yenyewe. Huwa naanda vitalu vya miche, nauza miche mingi, faida nanunulia mashamba na kuendeleza, kwa hiyo ni uwekezaji unaojiendesha wenyewe. mwanzo nilikuwa nanunua vimisitu vidogo nafuga, akija mteja napiga bei, kwa hiyo vikaniinua sana. Huku nina miche na kule kamsitu kamepata mteja, basi siku zinasonga.

Niko njombe pia napiga parachichi. Nimeangukia pua mara mbili kwenye parachichi, yaaani miche ilikufa sana. Nikagundua miche ya bei rahisi ni hasara. Sasa hivi natumia miche ya bei mbaya, haifi.

Kule Lutukira niliangukia pua kwenye Tangawizi, ile namalizia camping, bei ikashuka vibaya nikaondoka fasta.
 
Muhimu sana ukatie bima. Mimi nilikuwa nimepanda heka 100. Miti ilikuwa na miaka 6. Na nilipanda miti ya malawi ya miaka 10 unavuna. Lakini mwaka jana mwezi wa 8 hapo shamba lote liliungua moto. Kuna wajinga walikuwa wanagombania shamba la urithi,mmojawao akaamua kulichoma hilo shamba,ambalo lilikuwa umbali kama wa mita 500 kutoka shambani kwangu. Mashamba mengi sana yaliungua. Wakati linaungua shamba langu nilikuwa kwenye proces ya kukatia bima. Lakini mwaka huu nafanya mpango nipande parachichi. Mwisho miti inalipa saaaaana. Lakini nakushauri kama ndio unataka kuanza kuwekeza huko kwenye miti. Panda parachichi mkuu. Miaka mi3 unaanza kuvuna. Na soko lipo kubwa sana,kuna kiwanda kimefunguliwa na rais juzi kati kiko Rungwe mbeya. Kuna kiwanda kinajengwa njombe. Kuna soko liko Italy. Panda parachichi mkuu
 
Naam,
Fedha inatokana na shughuli yenyewe. Huwa naanda vitalu vya miche, nauza miche mingi, faida nanunulia mashamba na kuendeleza, kwa hiyo ni uwekezaji unaojiendesha wenyewe. mwanzo nilikuwa nanunua vimisitu vidogo nafuga, akija mteja napiga bei, kwa hiyo vikaniinua sana. Huku nina miche na kule kamsitu kamepata mteja, basi siku zinasonga.

Niko njombe pia napiga parachichi. Nimeangukia pua mara mbili kwenye parachichi, yaaani miche ilikufa sana. Nikagundua miche ya bei rahisi ni hasara. Sasa hivi natumia miche ya bei mbaya, haifi.

Kule Lutukira niliangukia pua kwenye Tangawizi, ile namalizia camping, bei ikashuka vibaya nikaondoka fasta.
vp mkuu heka ya miti yenye miaka 2-3 huwa unauzaje/wanauzaje na mm mwaka huu nataka niingie huko
 
vp mkuu heka ya miti yenye miaka 2-3 huwa unauzaje/wanauzaje na mm mwaka huu nataka niingie huko
Mimi sio muuzaji wa miti chini ya miaka 15. Halafu bei sio uniform na wakati mwingine bei huwa inaathiriwa na shida za muuzaji hasa kwa miti midogo. Mapanda sasa hivi wanauza Tsh 1.5M mpaka 2.5M kwa eka kwa miti ya umri huo.
 
Mkuu Malila karibu sana, Hizi nondo zako hasa kwenye ujasiria mali ni rotuba tosha kichwani mwangu Sijui ndugu yako kanyagio alipoteaga wapi?
Mlachake bado uko Iringa mkuu?

Kanyagio bado tuko wote sana. Tulipofanya yetu Mufindi tukahamia Njombe pamoja. Bado tunakimbiza miti ya mbao. Baadae tukaenda wote Mkuranga kule. Sio muda mrefu atavuna kitu cha ukweli pande za Mufindi.
 
Mlachake bado uko Iringa mkuu?

Kanyagio bado tuko wote sana. Tulipofanya yetu Mufindi tukahamia Njombe pamoja. Bado tunakimbiza miti ya mbao. Baadae tukaenda wote Mkuranga kule. Sio muda mrefu atavuna kitu cha ukweli pande za Mufindi.
Safi sana man. Iringa nilihama tango 2012 nipo huku kwa wazaramo
 
Muhimu sana ukatie bima. Mimi nilikuwa nimepanda heka 100. Miti ilikuwa na miaka 6. Na nilipanda miti ya malawi ya miaka 10 unavuna. Lakini mwaka jana mwezi wa 8 hapo shamba lote liliungua moto. Kuna wajinga walikuwa wanagombania shamba la urithi,mmojawao akaamua kulichoma hilo shamba,ambalo lilikuwa umbali kama wa mita 500 kutoka shambani kwangu. Mashamba mengi sana yaliungua. Wakati linaungua shamba langu nilikuwa kwenye proces ya kukatia bima. Lakini mwaka huu nafanya mpango nipande parachichi. Mwisho miti inalipa saaaaana. Lakini nakushauri kama ndio unataka kuanza kuwekeza huko kwenye miti. Panda parachichi mkuu. Miaka mi3 unaanza kuvuna. Na soko lipo kubwa sana,kuna kiwanda kimefunguliwa na rais juzi kati kiko Rungwe mbeya. Kuna kiwanda kinajengwa njombe. Kuna soko liko Italy. Panda parachichi mkuu
Pines huwa nauza Tsh 80/ na mlingoti Tsh 100/
Uko njombe sehem gan
 
Changamoto ya kwanza ni ardhi salama kwa kilimo hiki.
Changamoto ya pili ni manpower kwa ujumla wake
Changamoto ya tatu ni sera za nchi yetu
Changamoto ya nne ni miundombinu isiyo rafiki sehemu zenye ardhi nzuri na salama.
Changamoto ya tano ni hujuma inayotokana na sbb nyingi
Changamoto ya mwisho kipato kuyumba kwa wawekezaji.
Kwa nini unalazimika kurudia neno changamoto mara nyingi hivyo mkuu ? Ungeandika tu 'zipo changamoto zifuatazo' halafu ukazitaja tu moja moja.
 
Back
Top Bottom