jembelamkono
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 2,733
- 2,003
Habari za jioni wakuu,
Kumekuwa na threads nyingi sana hapa JF kuhusu uwekezaji kwenye mashamba ya miti kwa ajili ya mbao.
Naamini wako wengi waliovutiwa na uwekezaji huu wa muda mrefu ambao umekuwa ukinadiwa kuwa na tija sana kwa miaka ya hivi karibuni.
Basi leo nikaona sio vibaya kufungua thread hapa ili kuweza kupata uzoefu na mrejesho kupitia members wengine ambao walishawishika kufikia hatua kwenda kuwekeza kwenye uwekezaji huu.
Naamini wengi tungependa kujua hatua mlizopitia mpaka kufanikisha/kutokufanikisha katika uwekezaji huu.
Karibuni sana kuchangia wadau.
Kumekuwa na threads nyingi sana hapa JF kuhusu uwekezaji kwenye mashamba ya miti kwa ajili ya mbao.
Naamini wako wengi waliovutiwa na uwekezaji huu wa muda mrefu ambao umekuwa ukinadiwa kuwa na tija sana kwa miaka ya hivi karibuni.
Basi leo nikaona sio vibaya kufungua thread hapa ili kuweza kupata uzoefu na mrejesho kupitia members wengine ambao walishawishika kufikia hatua kwenda kuwekeza kwenye uwekezaji huu.
Naamini wengi tungependa kujua hatua mlizopitia mpaka kufanikisha/kutokufanikisha katika uwekezaji huu.
Karibuni sana kuchangia wadau.