Tupeni mrejesho mliowekeza kwenye mashamba ya miti

jembelamkono

JF-Expert Member
Nov 19, 2015
2,733
2,003
Habari za jioni wakuu,
Kumekuwa na threads nyingi sana hapa JF kuhusu uwekezaji kwenye mashamba ya miti kwa ajili ya mbao.

Naamini wako wengi waliovutiwa na uwekezaji huu wa muda mrefu ambao umekuwa ukinadiwa kuwa na tija sana kwa miaka ya hivi karibuni.

Basi leo nikaona sio vibaya kufungua thread hapa ili kuweza kupata uzoefu na mrejesho kupitia members wengine ambao walishawishika kufikia hatua kwenda kuwekeza kwenye uwekezaji huu.

Naamini wengi tungependa kujua hatua mlizopitia mpaka kufanikisha/kutokufanikisha katika uwekezaji huu.
Karibuni sana kuchangia wadau.
 
Uwekezaji wa miti kwangu mimi hauna tija, unahudumia shamba miaka zaidi ya 10 halafu unakuja kuuza mti kwa sh 20,000 na unapoukata inabidi upande mwingine na kuja kuvuna tena miaka 10 ijayo so elfu 40 kwa miaka 20.

Fanya kilimo cha miti ya matunda hutajuta mfano mchungwa mmoja hata ukiuza chungwa 300 kwa sh 50 = 15000 so kwa miaka 10 = 15,000*7= 105,000/=
 
Kwani ukivuna lazima upande tena?
Uwekezaji wa miti kwangu mimi hauna tija, unahudumia shamba miaka zaidi ya 10 halafu unakuja kuuza mti kwa sh 20,000 na unapoukata inabidi upande mwingine na kuja kuvuna tena miaka 10 ijayo so elfu 40 kwa miaka 20.

Fanya kilimo cha miti ya matunda hutajuta mfano mchungwa mmoja hata ukiuza chungwa 300 kwa sh 50 = 15000 so kwa miaka 10 = 15,000*7= 105,000/=
 
Uwekezaji wa miti kwangu mimi hauna tija, unahudumia shamba miaka zaidi ya 10 halafu unakuja kuuza mti kwa sh 20,000 na unapoukata inabidi upande mwingine na kuja kuvuna tena miaka 10 ijayo so elfu 40 kwa miaka 20.

Fanya kilimo cha miti ya matunda hutajuta mfano mchungwa mmoja hata ukiuza chungwa 300 kwa sh 50 = 15000 so kwa miaka 10 = 15,000*7= 105,000/=
Yah reasoning yako inamantiki mkuu,vipi lakini,ulishawahi kuwekeza kwenye miti?
 
Ninachojua mimi kwa ufupi ni uwekezaji mzuri hasa ukiwa na mtaji. Unachokifanya kila mwaka unapanda miti. Ikifika muda wa kuvuna kila mwaka unavuna na kila mwaka unapanda.

Ila naonaga hii biashara inawafaa zaidi matajiri. Ila kwangu ni biashara nzuri.
Uwekezaji wa miti kwangu mimi hauna tija, unahudumia shamba miaka zaidi ya 10 halafu unakuja kuuza mti kwa sh 20,000 na unapoukata inabidi upande mwingine na kuja kuvuna tena miaka 10 ijayo so elfu 40 kwa miaka 20.

Fanya kilimo cha miti ya matunda hutajuta mfano mchungwa mmoja hata ukiuza chungwa 300 kwa sh 50 = 15000 so kwa miaka 10 = 15,000*7= 105,000/=
 
Ninachojua mimi kwa ufupi ni uwekezaji mzuri hasa ukiwa na mtaji. Unachokifanya kila mwaka unapanda miti. Ikifika muda wa kuvuna kila mwaka unavuna na kila mwaka unapanda.


Ila naonaga hii biashara inawafaa zaidi matajiri. Ila kwangu ni biashara nzuri.
Unatakiwa kufanya palizi angalau mara 2 kwa mwaka (Kuna kuchomeana mashamba) na miti ikue vizuri, pia Kuna pruning kila mwaka bei inategemea mahali ulipo. Jumla palizi 30 kwa miaka 15

Kuhudumia shamba kwa miaka 15 bila kuingiza hata shilingi ni rubbish. Mfano njombe/iringa shamba la miti yenye miaka 7 na ardhi wanauza 3-6m, miaka 3-4 laki 5-7
 
Unatakiwa kufanya palizi angalau mara 2 kwa mwaka (Kuna kuchomeana mashamba) na miti ikue vizuri, pia Kuna pruning kila mwaka bei inategemea mahali ulipo. Jumla palizi 30 kwa miaka 15

Kuhudumia shamba kwa miaka 15 bila kuingiza hata shilingi ni rubbish. Mfano njombe/iringa shamba la miti yenye miaka 7 na ardhi wanauza 3-6m, miaka 3-4 laki 5-7
Aisee mkuu una akili Kama zangu.
Kufanya biashara ya kutoa hela tu kila mwaka bila kuingiza hata senti siiwez.
Ila inawafaa matajiri wenye vyanzo vingi vya mapato.
 

Leo limekuja hili tangazo la kuuza shamba la miti
 
Wakuu mpooooo,
Mimi nimezama kwenye uwekezaji huu kwa muda sasa, na sina mpango wa kuacha kuwekeza katika miti ya mbao na nguzo na hata mwaka huu nimeotesha mingi sana. Nitaeleza kwa upande wangu ukweli ulivyo.
 
Mosi; kuna changamoto ktk uwekezaji huu, usiweke hela kwenye miti kama cash flow yako ni ya mawazo sbb unaweza kuambulia majivu.

Sio uwekezaji wa muda mfupi, ili upate faida ni lazima uende zaidi ya miaka 15 mpaka 23 hivi. Aina ya miti na scale ni muhimu sana kuijua ili kufikia malengo.

Pili; mabadiliko ya sera, anguko la uchumi kwenye jamii linaathiri sana uwekezaji huu.

Tatu; kwa wenye pumzi huu ni uwekezaji mzuri kama sector nyingine.
 
Mosi; kuna changamoto ktk uwekezaji huu, usiweke hela kwenye miti kama cash flow yako ni ya mawazo sbb unaweza kuambulia majivu. Sio uwekezaji wa muda mfupi, ili upate faida ni lazima uende zaidi ya miaka 15 mpaka 23 hivi. Aina ya miti na scale ni muhimu sana kuijua ili kufikia malengo.

Pili; mabadiliko ya sera, anguko la uchumi kwenye jamii linaathiri sana uwekezaji huu.

Tatu; kwa wenye pumzi huu ni uwekezaji mzuri kama sector nyingine.
Hapo kwenye changamoto hebu fafanua zaidi mkuu.
 
Mosi; kuna changamoto ktk uwekezaji huu, usiweke hela kwenye miti kama cash flow yako ni ya mawazo sbb unaweza kuambulia majivu. Sio uwekezaji wa muda mfupi, ili upate faida ni lazima uende zaidi ya miaka 15 mpaka 23 hivi. Aina ya miti na scale ni muhimu sana kuijua ili kufikia malengo.

Pili; mabadiliko ya sera, anguko la uchumi kwenye jamii linaathiri sana uwekezaji huu.

Tatu; kwa wenye pumzi huu ni uwekezaji mzuri kama sector nyingine.
Ulipotea sana,
Huku uwekezaji huu wanasema ni kwaajili ya watoto
 
Uwekezaji huu ilikuwa dili xana kipindi cha awamu ya nne ....kama unafanya saizi uwe huna hera kwa kupeleka lkn unafaida xana wengi waliwahi kuwekeza wametoka kimaisha.
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom