Swet-R
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 5,613
- 8,042
Ndio njia kwenda songea. Tunaingilia pale kuna kibao cha frank yule aliwatika miche ya parachichi pale barabarani na kule ndani karibu na magereza ana shamba kubwa la maparachichi,nafikiri tayari ana soko Italynjia ya kwenda songea