4. SGR ifike ChatoKatika kipindi cha kwanza cha awamu hii ya tano tumeshuhudia uwezo mkubwa wa awamu hii kutekeleza miradi mikubwa mikubwa iliyokuwa imeshindikana huko nyuma, tena kwa spidi kali. Mifano ya miradi hii ni kama ifuatavyo:
1. Uhamishaji wa makao makuu ya
nchi kwenda katikati ya nchi.
2.Kuyafanya maporomoko ya mto rufiji (aka Stigler's) kuzalisha umeme wa bei ndogo sana unaotosheleza nchi nzima na kusaza (at least kwa kiwango cha matumizi ya sasa).
3. Ujenzi mkubwa wa njia za usafiri za kisasa kwenye nchi kavu (reli na barabara), majini na angani.
4. Ujenzi mkubwa wa viwanda vya kisasa na miundo mbinu za maji na afya.
Kipindi cha kwanza cha awamu hii kinakaribia kufika mwisho. Jee kuna mirdi mingine mikubwa yenye manufaa kwa taifa letu ambayo ungalipenda itekelezwe katika kipindi cha pili na cha mwisho cha awamu hii ya hapa kazi tu? Mapendekezo yako huenda yakaingizwa kwenye ilani ya uchaguzi mkuu ujao. Mifano ni kama ifuatavyo:
1. Mradi wa chuma cha pua wa Liganga. Manufaa ya mradi huu utatufanya kuachana na matumizi ya vyuma chakavu na kutuwezesha kuwa na viwanda vikubwa kama vile vya kuunda (siyo kuunganisha) magari, matrekta, pikipiki, treni na dhana mbali mbali za kazi hususani mikasi, majembe, shoka, vifaa vya hospitali nk.
Mradi huu wa chuma ulipewa kampuni moja ya Uchina ambayo imekuwa ikizengua. Gharama ya mradi ni $ 3 billion tu sawa na Tsh 6.8 trillion tu ambazo awamu hii imetuonesha tunaweza kutumia fedha zetu wenyewe za ndani.
2.Mradi wa LNG (liquified natural gas). Mradi huu utatuwezesha kuchimba na kusafirisha nje ya nchi (export) matrillion ya gesi tuliyonayo chini ya bahari huko Mtwara na Lindi na kuifanya nchi yetu kuwa nchi tajiri sana. Gharama ya mradi ni $30 billion sawa na kama Tsh 70 trillion! Uwezo huu hatuna kwa sasa. Tunafanyaje? Tuanze kidogokidogo kwa gesi iliyo nje ya bahari hususani ile ya Songosongo? Angalao kwa matumizi ya ndani.
3. Miradi ya umeme wa nuclear/ uranium kwa mfano ule ulioko Mkuju river kule Namtumbo. Gharama ya umeme utokanavyo na vyanzo hivi vya uranium ni kubwa kuliko ule utokanao na maporomoko ya maji. Jee tuachane na miradi ya Uranium kwa sasa na badala yake tuendelee kutafuta maporomoko ya maji mengine makubwa yanayoweza kuzalisha umeme mwingi?
Jaribu na wewe kupendekeza miradi mizito mizito kwa awamu hii kuiangalia utekelezaji wake. Mzee Yusuf Makamba aliwahi kusema " Mzigo mzito tumeurudisha kwa mwenyewe". Tuendelee kumtafutia mizigo mingine tuliyoisahau kabla hajaondoka.
Nani sasa apendekeze? Kwani hiyo mingine ni akina nani waliipendekeza? Ingekuwa ni mapendekezo yetu wananchi sidhani kama kulingana na matatizo lukuki tuliyonayo tena ya muhimu, tungelipendekeza hayo!! Wakae tu wao, nadhani wako wawili, wapendekeze tena!! Ikibidi la kumtuma hata mtanzania wa kwanza kwenda anga ya juu sawa tu.
Hahaaaaaa!! Maswali mengine lazima yajibiwe hivyooo!!Mbona umeongea kiukali hivyo? Lol
Hayo ni mawazo yako!! Hapa akili ya mzungu na mwafrika ndio huonekana ni tofauti, kwani uzalendo unatoka wapi? Mtu hafundishwi uzalendo hata siku moja, vipaumbele vya nchi hutoka kwa wananchi na sio kwa kiongozi, shida ya praise team ndio hapo hata hamueleweki, tatizo ni kuwa na akili za kushikiwa.Huu ndo ujinga wa vyama vya upinzan Tz
Anachosema mleta mada ni kitu muhimu kwa Watanzania wote
Then mtu mwenye akili timamu kabisa unakoment umbufi hapa
Kama hauna la kusema ungemute tu.
Tatizo la watanzania ni ubinafsi, na kujidharau.
Ubinafsi unaona kwa kuwa ni kama hauusiki moja kwa moja na hii kazi, bas haupo hata tayar kutoa mawazo yako mawil
Kujidharau huku ndo kunaua mawazo ya watanzania.
Uboreshaji Wa makazi ya watumishi Wa umma hasa sekta ya elimu tuanzie nyumba za walimu hasa kwa shule za A level tuhakikishe walimu wote wanaishi kwenye nyumba za walimu. Pia na kwenye sekta ya afya pia.
Yeah,mradi mradi wa Chuma na makaa ya mawe ni miradi ya kimkakati. Hapa lazima mradi wa miundombinu kamilifu wa Mtwara Corridor lazima uhuishwe ili kuleta tija. Pia mradi wa LNG kama ulivyosema. Ni mradi mkubwa unaohitaji uwekezaji mkubwa hapo lazima kuwe na PPP approach ikiwa na Win-Win Situation.Katika kipindi cha kwanza cha awamu hii ya tano tumeshuhudia uwezo mkubwa wa awamu hii kutekeleza miradi mikubwa mikubwa iliyokuwa imeshindikana huko nyuma, tena kwa spidi kali. Mifano ya miradi hii ni kama ifuatavyo:
1. Uhamishaji wa makao makuu ya
nchi kwenda katikati ya nchi.
2.Kuyafanya maporomoko ya mto rufiji (aka Stigler's) kuzalisha umeme wa bei ndogo sana unaotosheleza nchi nzima na kusaza (at least kwa kiwango cha matumizi ya sasa).
3. Ujenzi mkubwa wa njia za usafiri za kisasa kwenye nchi kavu (reli na barabara), majini na angani.
4. Ujenzi mkubwa wa viwanda vya kisasa na miundo mbinu za maji na afya.
Kipindi cha kwanza cha awamu hii kinakaribia kufika mwisho. Jee kuna mirdi mingine mikubwa yenye manufaa kwa taifa letu ambayo ungalipenda itekelezwe katika kipindi cha pili na cha mwisho cha awamu hii ya hapa kazi tu? Mapendekezo yako huenda yakaingizwa kwenye ilani ya uchaguzi mkuu ujao. Mifano ni kama ifuatavyo:
1. Mradi wa chuma cha pua wa Liganga. Manufaa ya mradi huu utatufanya kuachana na matumizi ya vyuma chakavu na kutuwezesha kuwa na viwanda vikubwa kama vile vya kuunda (siyo kuunganisha) magari, matrekta, pikipiki, treni na dhana mbali mbali za kazi hususani mikasi, majembe, shoka, vifaa vya hospitali nk.
Mradi huu wa chuma ulipewa kampuni moja ya Uchina ambayo imekuwa ikizengua. Gharama ya mradi ni $ 3 billion tu sawa na Tsh 6.8 trillion tu ambazo awamu hii imetuonesha tunaweza kutumia fedha zetu wenyewe za ndani.
2.Mradi wa LNG (liquified natural gas). Mradi huu utatuwezesha kuchimba na kusafirisha nje ya nchi (export) matrillion ya gesi tuliyonayo chini ya bahari huko Mtwara na Lindi na kuifanya nchi yetu kuwa nchi tajiri sana. Gharama ya mradi ni $30 billion sawa na kama Tsh 70 trillion! Uwezo huu hatuna kwa sasa. Tunafanyaje? Tuanze kidogokidogo kwa gesi iliyo nje ya bahari hususani ile ya Songosongo? Angalao kwa matumizi ya ndani.
3. Miradi ya umeme wa nuclear/ uranium kwa mfano ule ulioko Mkuju river kule Namtumbo. Gharama ya umeme utokanavyo na vyanzo hivi vya uranium ni kubwa kuliko ule utokanao na maporomoko ya maji. Jee tuachane na miradi ya Uranium kwa sasa na badala yake tuendelee kutafuta maporomoko ya maji mengine makubwa yanayoweza kuzalisha umeme mwingi?
Jaribu na wewe kupendekeza miradi mizito mizito kwa awamu hii kuiangalia utekelezaji wake. Mzee Yusuf Makamba aliwahi kusema " Mzigo mzito tumeurudisha kwa mwenyewe". Tuendelee kumtafutia mizigo mingine tuliyoisahau kabla hajaondoka.
Pendekezo lako zuri sana. Miradi mikubwa ya umwagiliaji itatuwezesha kuwa na uhakika wa chakula cha kutosha na kuuza nje pamoja na mazao mengine. Inasikitisha kuona nchi kama Misiri ambayo iko jangwani inatupita kwa mbali katika uzalishaji wa mazao ya kilimo.
Mawazo mazuri umeyaleta lakini yanahitaji muda ili kupisha ile miradi ya kwanza.Katika kipindi cha kwanza cha awamu hii ya tano tumeshuhudia uwezo mkubwa wa awamu hii kutekeleza miradi mikubwa mikubwa iliyokuwa imeshindikana huko nyuma, tena kwa spidi kali. Mifano ya miradi hii ni kama ifuatavyo:
1. Uhamishaji wa makao makuu ya
nchi kwenda katikati ya nchi.
2.Kuyafanya maporomoko ya mto rufiji (aka Stigler's) kuzalisha umeme wa bei ndogo sana unaotosheleza nchi nzima na kusaza (at least kwa kiwango cha matumizi ya sasa).
3. Ujenzi mkubwa wa njia za usafiri za kisasa kwenye nchi kavu (reli na barabara), majini na angani.
4. Ujenzi mkubwa wa viwanda vya kisasa na miundo mbinu za maji na afya.
Kipindi cha kwanza cha awamu hii kinakaribia kufika mwisho. Jee kuna mirdi mingine mikubwa yenye manufaa kwa taifa letu ambayo ungalipenda itekelezwe katika kipindi cha pili na cha mwisho cha awamu hii ya hapa kazi tu? Mapendekezo yako huenda yakaingizwa kwenye ilani ya uchaguzi mkuu ujao. Mifano ni kama ifuatavyo:
1. Mradi wa chuma cha pua wa Liganga. Manufaa ya mradi huu utatufanya kuachana na matumizi ya vyuma chakavu na kutuwezesha kuwa na viwanda vikubwa kama vile vya kuunda (siyo kuunganisha) magari, matrekta, pikipiki, treni na dhana mbali mbali za kazi hususani mikasi, majembe, shoka, vifaa vya hospitali nk.
Mradi huu wa chuma ulipewa kampuni moja ya Uchina ambayo imekuwa ikizengua. Gharama ya mradi ni $ 3 billion tu sawa na Tsh 6.8 trillion tu ambazo awamu hii imetuonesha tunaweza kutumia fedha zetu wenyewe za ndani.
2.Mradi wa LNG (liquified natural gas). Mradi huu utatuwezesha kuchimba na kusafirisha nje ya nchi (export) matrillion ya gesi tuliyonayo chini ya bahari huko Mtwara na Lindi na kuifanya nchi yetu kuwa nchi tajiri sana. Gharama ya mradi ni $30 billion sawa na kama Tsh 70 trillion! Uwezo huu hatuna kwa sasa. Tunafanyaje? Tuanze kidogokidogo kwa gesi iliyo nje ya bahari hususani ile ya Songosongo? Angalao kwa matumizi ya ndani.
3. Miradi ya umeme wa nuclear/ uranium kwa mfano ule ulioko Mkuju river kule Namtumbo. Gharama ya umeme utokanavyo na vyanzo hivi vya uranium ni kubwa kuliko ule utokanao na maporomoko ya maji. Jee tuachane na miradi ya Uranium kwa sasa na badala yake tuendelee kutafuta maporomoko ya maji mengine makubwa yanayoweza kuzalisha umeme mwingi?
Jaribu na wewe kupendekeza miradi mizito mizito kwa awamu hii kuiangalia utekelezaji wake. Mzee Yusuf Makamba aliwahi kusema " Mzigo mzito tumeurudisha kwa mwenyewe". Tuendelee kumtafutia mizigo mingine tuliyoisahau kabla hajaondoka.
1. Kumbuka huyu ni mwanasayansi. Mwanasayansi huwa hachoki kufanya uvumbuzi (inventions & discoveries) kwani ndiyo kazi yake. Formula ya kuipeleka nchi yetu kuwa a donor country aliivumbua mapema katika kipindi chake cha kwanza. Formula hiyo ndiyo imewezesha kuyafanya hayo mambo makubwa tunayoyashuhudia. Formula hii anaendelea kuiboresha ili iweze kufanya vizuri zaidi.Mkuu naomba nijikite kwenye uzi wako namba moja. Unapotoa uzi wako na ukadhani una hoja ya msingi ni vyema uangalie ukweli zaidi. Uzi wako unataka mapendekezo ya miradi mikubwa. Kwangu mimi na wengine nadhani mradi mkubwa unaanzia 500b fedha za kitanzania. Katika miradi iliyozidi 500b ndani ya hii miaka minne kati ya mitano ya mwanzo niKatika miradi hiyo ukiacha ndege zinazokuja kwa PC's miradi mingine miwili mikubwa ambayo ndio ya fedha nyingi haujakamilika na haiwezi kukamilika ndani ya hii miaka mitano ya mwanzo ya utawala wake. Hilo la kuhamia Dodoma mpaka sasa liko 50/50 na la kisiasa zaidi kwani bado halijakamilika.
unanunuzi wa ndege ambao ni 1t+- Ujenzi wa stiegler gorge 6.5t+ huenda ikazidi.
- Ujenzi wa reli ni 7.5t+ kwa matarajio ya mwanzo, huenda ukazidi iwapo utakamilika
Iwapo Magufuli atakaa madarakani miaka 6 ijayo ambapo itakuwa mwisho wake kikatiba, hatakuwa na uwezo tena wa kutekeleza mradi wowote utakaozidi 2t au hata kufikia hiyo 2t. Miradi pekee atakayoweza kutekeleza ni ya 500b- tena kwa mikopo.
Kwanini nakuambia hivyo, Magufuli na serikali yake ya awamu hii namfananisha na timu iliyocheza kwa nguvu zote dk 45 za mwanzo, na ikasahau kuna kipindi cha pili cha dk 45. Miradi ile mikubwa wa umeme wa maji na reli iwapo itaisha huenda ni 2022 na sio chini ya hapo. Wakati huo Magufuli atakuwa ameuchoka urais kwani hana cha kwenda kuonyesha tena, na wakati huo joto litakuwa linapanda ndani ya chama chake kusaka mrithi, labda kama ana mpango wa kujiongezea muda wa kukaa madarakani.
Kikwazo chake kwenye miradi mikubwa inayozidi 1t itakuwa, miradi hii mikubwa ya sasa itakuwa haijakamilika na ndio atakuwa anapambana kuimaliza. Mzigo wa kulipa madeni ya pesa anazokopa kwa sasa itakuwa uko shingoni, huku miradi anayojenga sasa ikiwa haijaanza kurudisha alichokopa. Kwa bahati mbaya serikali hii inahubiri kwamba miradi hii ni ya fedha za ndani, lakini ukweli unakataana na kasi ya deni la taifa. Miradi yake mingi ukiacha wa ndege na meli mingine yote ni kama huduma yaani barabara, maji na afya, hivyo ulipaji wake ni wa muda mrefu hasa ukizingatia tuna viwanda vichache na kilimo duni. Hapo sijataja changamoto nyingine zinazoweza kujitokeza zilizo nje ya uwezo wake kiuchumi, kijamii kama majanga ya njaa, bei ya mafuta kupanda, soko la dunia kuyumba nk. Ushauri wangu kwa sasa,amalize hii miradi mikubwa miwili aliyoianza ya above 5t+, kabla ya kuanza kulazimisha miradi mingine mikubwa ambayo nina hakika hataweza kuimaliza, na atakapokuja rais mwingine anaweza kuitelekeza maana nchi hii hatuna vipaombele vya nchi bali vya rais.
Misri waliwekeza kwanza kwenye Elimu/Teknolojia/ubunifu sisi tumeanzia wapi?Pendekezo lako zuri sana. Miradi mikubwa ya umwagiliaji itatuwezesha kuwa na uhakika wa chakula cha kutosha na kuuza nje pamoja na mazao mengine. Inasikitisha kuona nchi kama Misiri ambayo iko jangwani inatupita kwa mbali katika uzalishaji wa mazao ya kilimo.
Walimu walipwe vizuri wajijengee nyumba zao, na wajinunulie magari yao, siyo sawa kila mtumishi ajengewe nyumba jirani na ofisi yake. Napinga hii idea mpaka mwisho wa dunia.Uboreshaji Wa makazi ya watumishi Wa umma hasa sekta ya elimu tuanzie nyumba za walimu hasa kwa shule za A level tuhakikishe walimu wote wanaishi kwenye nyumba za walimu. Pia na kwenye sekta ya afya pia.