Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii sasa ni Jamhuri ya Kikristo ya TanzaniaKWA HALI ILIVYO sasa na mambo ambayo yamekuwa yakitokea kimyakimya kati ya serikali na kanisa hapa nchini ni dhahiri kuwa Tanzania hivi sasa haisthili kuitwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania bali Jamhuri ya Kikiristo ya Tanzania.
Maana kigezo cha kutanabahisha kama mtu fulini ni hili au lile ni sauti na uwezo wake juu ya suala muhimu husika.
Katiba inadhihirisha kwamba kila mtu ana haki ya kuwa muumini wa dini anayoitaka na kuabudu kwa namna anayoitaka. Sasa Muislamu anapotaka kukamilisha ibada yake kwa kuwa na Mahakama ya Kadhi utailewaje serikali hiyo inapotafuta ushauri wa wasio Waislamu kama Waislamu waruhusiwe hilo au la.
Kwa kuwa aliyeachiwa uamuzi si serikali bali madhehebu za Kikiristo ndio maana tunasema kwamba SERIKALI TANZANIA INA DINI na sio vinginevyo na dini hiyo sio nyingine ila UKiristo!
Tunasema hivi kwa sababu zifuatazo:
1. Serikali haiwezi kutekeleza madai au haki yoyote ya Waislamu bila kushauriwa na kuruhusiwa na Kanisa au Wakiristo kwa ujumla wao.
2. Serikali imekuwa ikigawa kulia na kushoto mali zilizotaifishwa kwa makanisa na viongozi wao.
3. Kanisa limekuwa likiiandikia cheki isiyo na kiasi cha fedha chama tawala kila inapofikia uchaguzi.
4. Serikali imekuwa ikiliandikia kanisa cheki isiyo na kiasi cha fedha kanisa kila inaporudi madarakani.
5. Washauri wanaomzunguka kiongozi wa nchi karibu wote ni Wakiristo.
6. Idadi kubwa ya mawaziri, makatibu wakuu, wakuu wa mikoa na wilaya na viongozi wengine wa juu ni wakiristo, mathalani, kati ya mawaziri wakubwa ni 15 tu ndio waislamu na takriban 35 ni wakiristo.
7. BAKWATA kiutendaji iko chini ya Waziri Mkiritsto. Na rushwa serikali inayotoa kwa BAKWATA ndiyo inayosababisha migogoro isiyoisha huko.
8. Kanisa linaendelea kumiminiwa fedha sio tu na serikali bali wafadhili wa ndani na nje wakati misaada yote ya Waislamu imepigwa 'X' kwa kisingizio cha Ugaidi au inaliwa na wakubwa wa serikali kama ilivvyofanywa kwa EPA.
9. Serikali imeruhusu kujengwa mabaa, masoko machafu na makanisa ya walokole karibu kila panapokuwepo na msikiti hivi leo.
10. Serikali inawakataza wafanyabiashara wa Kiislamu kuchangia upanuzi wa redio za Kiislamu na kuanzishwa kwa televisheni za Kiislamu wakati wakiristo tayari wana televisheni 7 na redio zipatazo 30.
11. Wakati shule za Wakiristo zinapata ruzuku toka serikalini shule za Kiislamu hazina bahati hiyo.
12. Mamia kama sio maelfu ya watoto wanaopelekwa kwenda kusoma nje hivi leo ni watoto wa viongozi wakiristo.
13. Fedha za kupiga vita umasikini nyingi zimeliwa au kuepewa wale wasio waislamu wakati waislamu ndio masikini wakubwa nchini.
14. Serikai inapiga vita kuwepo kwa kiongozi bora, safi na mwadilifu wa Kiislamu kwa kuunga mkono viongozi wasio na elimu dunia na wababaishaji hata katika hiyo ya dini.
15. Serikali imeamriwa na Wakristo kutoruhusu Mahakama ya Kadhi. Lakini wakati huohuo imelazimishishwa kuwapa kwa ubalozi wa Vatican hapa nchini kwa kisingio kwamba eti Vatican ni nchi wakati ni ufalme wa Kikatoliki ndani ya Italia.
16. Serikali imepiga marufuku Waislamu kupata misaada toka nchi za nje. Na misaada hiyo inapoingia inataifishwa na Benki kuu na kuliwa kama fedha za EPA!
17. Serikali na vyama vya siasa vinawatisha Waislamu viongozi kutotetea au kuundeleza Uislamu. Na imeshindwa kabisa kuwasaidia viongozi hao wasio na maarifa ya Uislamu elimu muhimu ya dini yao wakati wakiwa kazini.
18. Serikali inatumia vyombo vya habari (vyake au vya wamiliki binafsi) ama kuendeleza ukiristo au kupiga vita Uislamu na kuchafua maadili ya kumuhofu Muumba na ucha Mungu.
19. Serikali inatumia vyombo vya dola na mahakama kuwaadhibu na kuwaonea viongozi wa Kiislamu.
20. Bunge linadharau Uislamu na ibada zao. Kiasi cha kwamba siku ya Ijumaa ni shughuli kama kawaida na waumini wa Kiislamu ndani ya Bunge ama ni waoga au wanatishwa katika kulikataa hili.
Quran imeshindwa kuwaongozeni nakuwatatulia baadhi ya migogoro mpaka sasa mnaiacha njia ambayo mmeambiwa muifuate mnaanza kujitafutia njia zenu wenyewe za mahakama sio tena quran.
Nadhani kuna mapungufu ndio maana mnadai mahakama je mashekhe wenu wameshindwa kuwaongoza? au na shekh anayo mapungufu?
Wewe umetumwa,hivi unadhani kwakuongea hivyo utamtisha nani kwakufanya hivyo hivi unadhani nyinyi ni watoto kana kwamba kila mnachotaka mnaanza kulia kama watoto ili msikilizwe.
Nyinyi kwanza wabinafsi sijui mmekosa nini kama maakama sizipo sasa isue gani imeshindwa kufanywa na mahakama zetu kwanza hiyo ni kudharau Dora (mahakama).
N:B haya matatizo gani ambayo yametokea hapa tz yakashindwa kuamuliwa na mahakama ya kawaida nyinyi ni wabaguzi ndio maana mnataka mahakama yenu wenyewe,Mkipewa mwishowe mtaomba mgawiwe nchi yenu wenyewe maana hamja acha fikra za kibaguzi za Warabu.
Acha hoja zisizo na msingi, unataka ratio sawa kwa waislam na wakristo. Kama unajua hesabu fanya hivi, chukua idadi ya waislam waliopo katika serikali then wape vyeo kwa mlingano sahihi uone kama watawazidi wakristo. kubali usikubali wasomi waislamu ni wachache kulinganisha na Wakristo.
Pole ikiuma toa. Hamia ukristo unakaribishwa
Moderater hapa sio sehemu yake kwa kuwa hii haikuwa habari lakini hata napenda kuwapa ushauri kidogo mnaopingana kuhusu dini.
- je mnajua kuwa wakati nyinyi mnapingana wanasayansi wako karibu kugundu kuwa dini ni kitu kilichotungwa na mwanadamu.
- Dini zote zimeiba idea zilitangulia kila dini kwa wakati wake, tafuta ukweli kuhusu dini ya Wamisri wa kwanza, pamoja na watu wa kale walioishi mexico utapata ukweli kuhusu dini mnazobishiana kila wakati.
- hivyo vitabu vyenu kila kimoja kina makosa makubwa ambayo kama wewe ni critical thinker unaweza ukaacha kwenda msikitini au kanisani.
- kwanini msimalize hizi tofautndogo badala ya kubisha kwa vitu vidogo kama hivyo.
- wanasayansi wanaprove sasa matukio ambayo dini zinatumia na kutoa sababu ya matukio hayo wala hayakuwa na miujiza yeyote ni vitu vya kawaida kama vinavyotokea leo hii vikiwa na maelezo ya kutosha.
Nimefuatilia kwa karibu mjadala wa Bunge kipindi hichi, nilisoma mwanahalisi la 8/7/2009 linalozunmgumzia Udini Bungeni. Naungana na mwanahalisi kwa habari ile. kwani udini unaonekana wazi wazi bungeni hasa akionekana mbunge muslim kama vile Msambya alakitetea Jambo ndani ya bunge kwa maslah ya Taifa kuhusu Islam huchekwa na wabunge wengine au kama alivyosema mwanahalsi kwamba wabunge mawaziri waislam waandamawa bungeni. na spika hazungumzi kitu. jee ni haki kwa spika kuchekelea
Nimefuatilia kwa karibu mjadala wa Bunge kipindi hichi, nilisoma mwanahalisi l ... Naungana na mwanahalisi
Unasema umefuatilia kwa karibu mjadala wa Bunge, haya, nilieleze ni nini kilisemwa na mbunge gani, na waziri gani alilalamika, na alisema nini kuhusu uislam.
Hii inawezekana ni mada yako wewe na Said Kubenea tu, huenda hapa tunakuwa concerned na mambo ambayo sio pressing issue kwenye jamii ya Watanzania. Tuko out of touch, si ajabu.
Said Kubenea kaandika makala, mawazo yake yeye, halafu tunataka kuigeuza national debate. Haya, debate yenyewe hatujui hata yaliyosemwa ni nini, I mean, nani anajua Waziri alisema nini, na Mbunge alisema nini?
Nimefuatilia kwa karibu mjadala wa Bunge kipindi hichi, nilisoma mwanahalisi la 8/7/2009 linalozunmgumzia Udini Bungeni. Naungana na mwanahalisi kwa habari ile. kwani udini unaonekana wazi wazi bungeni hasa akionekana mbunge muslim kama vile Msambya alakitetea Jambo ndani ya bunge kwa maslah ya Taifa kuhusu Islam huchekwa na wabunge wengine au kama alivyosema mwanahalsi kwamba wabunge mawaziri waislam waandamawa bungeni. na spika hazungumzi kitu. jee ni haki kwa spika kuchekelea
Yeye kaandika hicho alichosikia na kusoma kwenye hilo gazeti. Sasa ni au wewe uridhike na aliyosema na ukae kimya/umuunge mkono, au tafuta hayo maelezo na uyalete hapa kuthibitisha kuwa jamaa maneno yake yamepishana na ukweli.