Kithuku: kwa ushuhuda wa hao mabosi waliyojisifu kuingiza ndugu zao huko makazini kwao ndio ukabila wenyewe huo ati!
Kosa moja ambalo tumelifanya TZ ni ku-surpress analysis yeyote ya mambo on the basis of tribes and religion. Hutakuta research zikijumuisha ethnic group kama one of the demographic factors. Matokeo yake hatuna evidence ya mambo mengi kuhusu ukabila zaidi ya hisia. Kwa hiyo hoja kwamba ukabila upo au haupo itabaki siku zote kuwa indicative rather than conclusive, and this is good and bad at the same time.
Wakati Kitabu cha UNTOLD STORY for Muslim Stuggle against British Colonialism in Tanganyika kinatoka kuna kijana mmoja alinunua copy 2, na alipopata taarifa kuwa Mwalim Nyerere anaumwa alikwenda Kumtembelea. Nyerere alipokiona kile kitabu baada ya kukisoma few pages akasema ALIYOYAANDIKA MOHD ni KWELI ila WATU HAWATAMWAMINI, yule kijana akamwachia copy moja mwalim. na Mwalim akaambiwa kuwa copy tayari zipo mtaani.
Nilikaa Katika Kijiji Kimoja Hukolindi,kule Watakupiga Na Kukuloga Ukila Nguruwe Lakini Ukileta Pombe Hasa Bia Pale Wanakupa Kiwanja Ili Ujenge Baa.mnaona Matatizo Yetu Haya
dhambi ya kubagua ni kama dhambi ya kula nyama ya mtu; huwa haikomi. Ukimshabagua huyu inabidi utafute mwingine wa kumbagua hadi mwisho unaanza kubagua watu wa nyumba yako mwenyewe!
Vijana wa KIISLAM wa sasa na wazamani lengo lao ni kuikumbusha Jamii ya Tanganyika HURU kuwa TULILETA UHURU ili kuondoa DHULUMA dhidi ya MKOLONi ambae alikaaa in FAVOR of Christians.
Fundi kasome kitabu..UKUMBI hautoshi...Mwandishi kaeleza kila mkoa nani alikuwepo ktk struggling za UHURU...Hatusemi waislam peke yao ndio waliopigania Uhuru...ila waislam walikuwa FRONTIERS kwa wakati kwani MFUMO wa UKOLONI wao Uliwaathiri zaidi kulino wengine...
UTUMWA ni mada pana...hapa si mahala pake...
Sahaman Fundi..Issue ya Mahujaji ni ingine huko UZEMBE PLUS... NO UDINI ni UZEMBE KAMA ilivyo sehem zingine.
Pia si kweli kuwa Kiongozi wa Mahujaji alisema MTU achinje media wame-exagrate...nimesoma ile ripoti ya ATC na nimeongea na muhusika kwanza alishangaa...so fanya tafiti kaka.
Pia sikusema wakristo wote, nimesema wale wachache waliopata MAMLAKA.soma vizuri acha jazba...