mkubhi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2015
- 2,204
- 3,308
Habari ndugu washiliki wa jamvi hili!?
Ndugu naomba tufahamishane ambao mmemeweza kuchukua hela ya kuchangia kupitia mfuko wa kijamii wa NSSF baada ya kujitoa uanachama yaani kuacha au kuachishwa kazi kwa taasisi binafisi.
Kwa upande wangu nimefungua madai mwaka huu kuanzia tarehe 2/3/2017 nikiwa nimeambiwa baada ya wiki tatu hela yangu nitakuwa nimeipata .... Chakushangaza mpaka hivi sasa miezi 8 inaisha nikiwa naifatilia hiyo hela kama vile namdai MTU binafisi....
Wadau naombeni ushauri nifanye nn hiyo niipate ili angalau nianzishe hata businesses unit yoyote ile ili niweze kuendelea kupata mkate wa kila siku!!
Ndugu naomba tufahamishane ambao mmemeweza kuchukua hela ya kuchangia kupitia mfuko wa kijamii wa NSSF baada ya kujitoa uanachama yaani kuacha au kuachishwa kazi kwa taasisi binafisi.
Kwa upande wangu nimefungua madai mwaka huu kuanzia tarehe 2/3/2017 nikiwa nimeambiwa baada ya wiki tatu hela yangu nitakuwa nimeipata .... Chakushangaza mpaka hivi sasa miezi 8 inaisha nikiwa naifatilia hiyo hela kama vile namdai MTU binafisi....
Wadau naombeni ushauri nifanye nn hiyo niipate ili angalau nianzishe hata businesses unit yoyote ile ili niweze kuendelea kupata mkate wa kila siku!!