Tupeane uzoefu kwa wale tunaofanya au waliofanya facebook ads

siyumwe

Senior Member
Apr 10, 2017
153
134
Habari za jioni wadau wa jukwaa hili,Lengo la kuleta uzi huu nikuzijua changamoto na jinsi tutakavyoweza kuzikabili ili tukiwa tunafanya matangazo tusiwe tunarudia makosa
Binafsi ngoja nizitaje changamoto zangu nazokumbana nazo ili kama kuna mdau anaeweza kunielewesha nisirudie tena makosa
1. Changamoto ya kwanza ni kudaiwa hela,sijui inatokea vipi mpaka fb wanakua wananidai kwa sababu huwa nikitaka ku boost post budget ninayoiweka inakua direct na pesa ambayo nimeiweka katika acc ila mwisho wa siku naishiwa kudaiwa
2 changamoto ya pili naona saiv nikiboost tangazo haliwafikii watu weng kama navyotarajia na ilivokua mwanzo sasa hapo sijajua tatizo ni nn
Kwa atakae nisaidia kwa hayo ntashukuru sana
 
1. Sijakuelewa vizuri
2. Nakutana na tatizo kama lako, nilihisi labda bei imepanda lakini baadae nikawa naweka off tangazo kisha naweka on tena mambo yanakaa sawa
 
1. Sijakuelewa vizuri
2. Nakutana na tatizo kama lako, nilihisi labda bei imepanda lakini baadae nikawa naweka off tangazo kisha naweka on tena mambo yanakaa sawa
1 hujaelewa wapi mkuu
2.Unawekaje tangazo off na on na tatizo ni nn mpaka ufanye hivo..?
 
1 hujaelewa wapi mkuu
2.Unawekaje tangazo off na on na tatizo ni nn mpaka ufanye hivo..?
2. Sijui tatizo ni nini, ni sawa na kuona simu inasumbua unazima na kuwasha japo hujajua tatizo ni nini unakuta inafanya kazi
 
1. Kama una daiwa ina maana hujalipa, kama umelipa utapata sms kuwa hudaiwi. Facebook hawawezi kukutana pesa zaidi ya uliyotumia, never
 
1. Kama una daiwa ina maana hujalipa, kama umelipa utapata sms kuwa hudaiwi. Facebook hawawezi kukutana pesa zaidi ya uliyotumia, never
Si dhan kama kuna ukweli hapo mfano mm huwa kila nikitaka ku promote tangazo langu naweka ela kwenye acc yangu kulingana na budget ambayo nimeikusudia tatizo linakuja baada ya tangazo ku perform na kuisha mda wake nakuta deni sasa hilo den linatoka wapi..?
 
Mfano niliweka 25000 na target ikawa nitumie $10 na nikaiweka hiyo hiyo ila sijui tatizo likaja wapi nikakuta nadaiwa $10
 
Habari za jioni wadau wa jukwaa hili,Lengo la kuleta uzi huu nikuzijua changamoto na jinsi tutakavyoweza kuzikabili ili tukiwa tunafanya matangazo tusiwe tunarudia makosa
Binafsi ngoja nizitaje changamoto zangu nazokumbana nazo ili kama kuna mdau anaeweza kunielewesha nisirudie tena makosa
1. Changamoto ya kwanza ni kudaiwa hela,sijui inatokea vipi mpaka fb wanakua wananidai kwa sababu huwa nikitaka ku boost post budget ninayoiweka inakua direct na pesa ambayo nimeiweka katika acc ila mwisho wa siku naishiwa kudaiwa
2 changamoto ya pili naona saiv nikiboost tangazo haliwafikii watu weng kama navyotarajia na ilivokua mwanzo sasa hapo sijajua tatizo ni nn
Kwa atakae nisaidia kwa hayo ntashukuru sana
Mfumo wa malipo wanaotumia facebook ni paypal kwahiyo kama ulilipia mara ya kwanza tangazo unavyokuja kuboost mara ya pili tangazo lingine hawakati pesa wanakuwa kama wamekukopesha afu ndio utakuja kuwalipa kwa paypal utavyotaka kuboost tangazo lingine
kuhusu tangazo kuwafikia watu wachache ndo inavyokuwaga haishauri kuboost tangazo
kikubwa nikutarget tangazo unataka limfikie nani ukitaka kila mtu aone tangazo hautopata wateja
kwa mtu ambaye yupo interest na huduma yako utamuamisha kwenye group yako ndio utakuwa ukifanyanao biashara
 
Mfumo wa malipo wanaotumia facebook ni paypal kwahiyo kama ulilipia mara ya kwanza tangazo unavyokuja kuboost mara ya pili tangazo lingine hawakati pesa wanakuwa kama wamekukopesha afu ndio utakuja kuwalipa kwa paypal utavyotaka kuboost tangazo lingine
kuhusu tangazo kuwafikia watu wachache ndo inavyokuwaga haishauri kuboost tangazo
kikubwa nikutarget tangazo unataka limfikie nani ukitaka kila mtu aone tangazo hautopata wateja
kwa mtu ambaye yupo interest na huduma yako utamuamisha kwenye group yako ndio utakuwa ukifanyanao biashara
Majibu yako mazuri mkuu, kwenye malipo unaweza kulipa visa au master card pia.
 
Back
Top Bottom