Nyamatare1987
JF-Expert Member
- Mar 29, 2021
- 416
- 493
Ndo mtoa mada anataka tuijadili sasa na kuisema ili viongozi wafanye kazi,au kuna sehemu kasema kwa kuwa ni ya Magu basi uachie,nyie vijana wa UVCMM ni wajinga sana1 na 3 umefatilia ukajua sababunkama pesa ishatolewa?? ilitolewa lini?? kwann haukukamilika kipindi hicho??
mradi ya JPM hasa ya zahanati na hospitali ni bomu na inachechemea tangu akiwepo nenda hospitali ya wilaya Nyan'hwale...... sio kwamba alikua hapigwi!!!