Tupeane updates nafasi za kazi za muda kwa halmashauri za mkoa wa Dar es salaam

monotheist

JF-Expert Member
Apr 30, 2017
720
943
Hamjambo,
Nimeona nafasi za kazi za muda katika uchaguzi wa serikali za mtaa lakini nyingi zinazotoka ni hlmashauri za mikoani

Je vipi kwenye halmashauri yako hapa Dar nafasi zimeshatoka au zinatarajia lini kutoka?
Maana kwenye halmashauri yangu mpaka sasa bado pako kimya.

Japokua hizi nafasi za kazi zina kujuana kwingi lakini tusikate tamaa tupeane apdate tukajaribu bahati zetu.
 
Bagamoyo(1).png
 
La Bagamoyo na hilo la MISENYI Halitaki hilo Mkuu.
Hivi bado mm cjaelewa vizur halmashaur wanao taka public servant kwamba wanawatumish zaid ya 300+...apo bado wengine wagome kwenda,,kuumwa,,misiba kwa mawazo yangu inabid baadhi ya idara za serikali zisitishe huduma kwa mda wa siku saba. Cc halmashauri za bagamoyo na lindi
 
Hivi bado mm cjaelewa vizur halmashaur wanao taka public servant kwamba wanawatumish zaid ya 300+...apo bado wengine wagome kwenda,,kuumwa,,misiba kwa mawazo yangu inabid baadhi ya idara za serikali zisitishe huduma kwa mda wa siku saba. Cc halmashauri za bagamoyo na lindi
Kwanini wameweka vigezo vya Ajabu hivi wakati kuna vijana Mtaani kibao wanaweza fanya hizi kazi. Inshort walimu wanafika hizo idadi😂 na walivyo na Ukame.
 
Kuna faulo inataka kuchezwa ndo maana wamesema wanataka public servants.Au wanapozwa machungu kiaina
 
Ebu nambie sijaelewa Mkuu!
Namaanisha suala lolote linalohusiana na uchaguzi ni suala nyeti. Wahusika lazima wawe waadilifu na mwenye msimamo, mfanyakazi tayari kazi yake inamfanya awe muadilifu tofauti na kijana anayetafuta pesa popote atakapoipata mtaani.

N.B Haya ni mawazo yangu tu.
 
Namaanisha suala lolote linalohusiana na uchaguzi ni suala nyeti. Wahusika lazima wawe waadilifu na mwenye msimamo, mfanyakazi tayari kazi yake inamfanya awe muadilifu tofauti na kijana anayetafuta pesa popote atakapoipata mtaani.

N.B Haya ni mawazo yangu tu.
Na hao walimu wanao tembea na wanafunzi mpaka kuwapa mimba ndo uadilifu na msimamo wa mfanyakazi.
 
Hii sio poa kwa kweli sio vjn wt tupo hivyo mwajiliwa aache tekeleza majukumu yk kisa siku saba za kuandikisha watu kura jmn tupeni fursa na sio hope tutaitendea haki
 
Back
Top Bottom