Hongera banduguMtandaoni akili kum kichwa asee nimekutana nao wengi sana japo si humu jf........mwisho wa siku nimepata mke na sasa tuna watoto wa2
Inawezekanaje wakt mtu hajakutongoza kama alikua na nia ya urafiki tu? labda kwenye bandiko......me nkiweka bandiko nasema mtu aje na picha iambatane na wasifu wake hahaaKwanza Mtumiane Picha Kabla Ya Yote Ili Ujue Kama Mnaendana Ama La Na Wala Usiogope Kumwambia Kama Hujavutiwa Naye Maana Hizi Ni Zama Za Ukweli Na Uwazi Siyo Kwenda Kibubu Bubu Unaweza Ukakutana Na Lizee
Teh Teh Kwenye Mapenzi Kuna Kitu Kinaitwa vigezo Na Masharti KuzingatiwaInawezekanaje wakt mtu hajakutongoza kama alikua na nia ya urafiki tu? labda kwenye bandiko......me nkiweka bandiko nasema mtu aje na picha iambatane na wasifu wake hahaa
Una Kesi NamieOnline dating ni nzuri na ya kipekee maana kukutana na watu wale wale kila siku na ndo hao hao uanzishe nao mahusiano huwa inaboa sana
Ipi hiyo?Una Kesi Namie
Hata urafiki tu ni riskMtandaoni ni easy way lakn ina risk sana
Tena kama unaweza kuvuka border ni poa zaidi, date na watu toka ulaya au hata afrika magharibi huko. Ila lazima mfuko ukae sawa.Ushauri mzuri Ely. Ukiachana na JF nimeona watu wanakutana na mabinti wa ndunia ya mbali wanafahamiana.
Binti anaenda Tz jamaa anamhost. Jamaa naye anaenda kwa binti anamhost. Mwisho wa siku wengi wao wanakuwa wapenzi na kuoana.
Sina hamu.....Haha, Salt umejuaje kuna wanaume wambea?
Tafuta wale sura zao tunaweka misemo ya wahengaumeandika vizuri sana .wa kwangu niliempata humu japo nimeogopa nikamkimbia nilimkaribisha nyumbani kabisa .nilienda kwake pia .ni mtu mzuri namuogopa tu nina hofu sana
Teh hapana asee, make hata nikikutext helloNaomba urafiki ES.
Unaniogopa na mie?Sina hamu.....
Yani hata wanaotaka urafiki tu naogopa mno
Naogopa wote tehUnaniogopa na mie?