No Escape
JF-Expert Member
- Mar 7, 2016
- 6,663
- 7,737
Ni wazo langu tu limenijia humu Jukwaani,kuna watu tunakuwa serious tunahitaji huduma fulani ila na humu jukwaani kuna watu wasio waaminifu pia wanakuwa serious kuharibu malengo ya watu na wengine matapeli...
Naomba uzi huu utumike katika kulindana malengo yetu kama kuna mtu au kampuni iliwahi kukufanyia kazi yako kwa ufanisi mpaka ukaipenda J.f naomba tupeane mrejesho hapa ili na sisi tuwe na Imani na tupate hiyo huduma.
Mimi natamani kufanya mambo ya maendeleo humu,lakini tangu niuziwe laptop mbovu miaka 5 iliyopita sina hamu....
Naomba uzi huu utumike katika kulindana malengo yetu kama kuna mtu au kampuni iliwahi kukufanyia kazi yako kwa ufanisi mpaka ukaipenda J.f naomba tupeane mrejesho hapa ili na sisi tuwe na Imani na tupate hiyo huduma.
Mimi natamani kufanya mambo ya maendeleo humu,lakini tangu niuziwe laptop mbovu miaka 5 iliyopita sina hamu....