Enyi watia nia 7000 wa CCM mlionyimwa mishahara.
Enyi wagombea wa CCM mlioshinda kura za maoni na kutoteuliwa.
Enyi wafanyabiashara mliofirisiwa mitaji yenu kwa kodi za TRA.
Enyi watumishi mlionyimwa haki yenu ya nyongeza ya mshahara wa kila mwaka.
Enyi wakulima ambao mmekopwa mazao yenu na mazao yenu kupata bei hafifu.
Enyi wanavyuo mliokosa mikopo ya elimu ya juu.
Enyi watumishi wa umma na binafsi wanufaika wa mikopo ya elimu ya juu ambao mmepandishiwa riba kutoka asilimia 3 baadae 8 na kufika 15.
Enyi mama ntilie, machinga, na wafanya biashara wadogo wadogo mliouziwa vitambulisho vya mjasiliamali kwa elfu 20.
Enyi ndugu za waathirika wa kesi za kubambikia na vifungo vya uonevu.
Enyi ndugu za waathirika wa utekaji, utesaji, na mauaji ya wasiojulikana.
Enyi watumishi mlioacha au kuachishwa kazi na mnaathirika na kuzuiwa kwa fao la kujitoa kwenye mifuko ya pensheni.
Enyi wastaafu watarajiwa kuanzia mwaka 2022 ambao mtakumbana na kikokotoo kandamizi cha mafao yenu ya kustaafu
Enyi watumishi wa umma mlioitwa "watumishi hewa na vyeti feki" mliofukuzwa kikatili.
Enyi maafisa, wakurugenzi, wakuu wa idara, makatibu wakuu, mawaziri na maafisa wengine wote, mlioathirika na tumbuatumbua na tenguatengua zisizo na haki.
Enyi watanzania wote mliopata madhara katika utawala wa miaka mitano ya serikali ya CCM ya Magufuli.
MIMI MWANA CCM NINAWAOMBA KWA UNYENYEKEVU MKUBWA:
Tumia dakika mbili kila siku, kwa siku zilizobaki kabla ya tarehe 28/10/2020, kuwapigia simu ndugu, jamaa, na marafiki wa mijini na vijijini kuwaelimisha jinsi ya kujinasua kwenye makucha ya CCM ya Magufuli, kwa kumpigia kura TUNDU LISSU, kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Watanzania mpoooooooo!
#Haki Huinua Taifa#
Enyi wagombea wa CCM mlioshinda kura za maoni na kutoteuliwa.
Enyi wafanyabiashara mliofirisiwa mitaji yenu kwa kodi za TRA.
Enyi watumishi mlionyimwa haki yenu ya nyongeza ya mshahara wa kila mwaka.
Enyi wakulima ambao mmekopwa mazao yenu na mazao yenu kupata bei hafifu.
Enyi wanavyuo mliokosa mikopo ya elimu ya juu.
Enyi watumishi wa umma na binafsi wanufaika wa mikopo ya elimu ya juu ambao mmepandishiwa riba kutoka asilimia 3 baadae 8 na kufika 15.
Enyi mama ntilie, machinga, na wafanya biashara wadogo wadogo mliouziwa vitambulisho vya mjasiliamali kwa elfu 20.
Enyi ndugu za waathirika wa kesi za kubambikia na vifungo vya uonevu.
Enyi ndugu za waathirika wa utekaji, utesaji, na mauaji ya wasiojulikana.
Enyi watumishi mlioacha au kuachishwa kazi na mnaathirika na kuzuiwa kwa fao la kujitoa kwenye mifuko ya pensheni.
Enyi wastaafu watarajiwa kuanzia mwaka 2022 ambao mtakumbana na kikokotoo kandamizi cha mafao yenu ya kustaafu
Enyi watumishi wa umma mlioitwa "watumishi hewa na vyeti feki" mliofukuzwa kikatili.
Enyi maafisa, wakurugenzi, wakuu wa idara, makatibu wakuu, mawaziri na maafisa wengine wote, mlioathirika na tumbuatumbua na tenguatengua zisizo na haki.
Enyi watanzania wote mliopata madhara katika utawala wa miaka mitano ya serikali ya CCM ya Magufuli.
MIMI MWANA CCM NINAWAOMBA KWA UNYENYEKEVU MKUBWA:
Tumia dakika mbili kila siku, kwa siku zilizobaki kabla ya tarehe 28/10/2020, kuwapigia simu ndugu, jamaa, na marafiki wa mijini na vijijini kuwaelimisha jinsi ya kujinasua kwenye makucha ya CCM ya Magufuli, kwa kumpigia kura TUNDU LISSU, kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Watanzania mpoooooooo!
#Haki Huinua Taifa#