Mkazamoyo
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 1,257
- 2,068
Hapo lazima ujue matumizi ya vitu km kumerge cell, kuzicombine nk lkn ni bora tu ukatumia word ila km una list ya vitu ambayo ipo kwenye excel na unataka kuoanisha au kuinsert kwenye barua iliyo kwenye word unaweza kutumia mail and mergeNaomba maujuzi ya kuandika barua kwa ku2mia excell..