Tupeane historia na visa vya Mwl J.K Nyerere hapa.

Aliwahi kuwasusia Chakula CCM na kutoka mkutatoni kisa John Malecela kachukua form ya Urais akawekq kadi ya Chama mezani
 
Salamu nyingi zikufikie wewe msahana jr kiukweli ninaitaji kufahamu japo kidogo historia yako wewe ninani na unaishi wapi na unafanya kazi gani nimefikia uamuzi huu baada ya kufuatilia bandiko (nyuzi) zako kila mara na namna ya uandisha wako hoja unazozitoa na namna unavo fikiri. Kiukweli ninaona utakua ww si mtu wa kawaida na kama ww ni wakawaida bas kuliko kusubir ufe tuanze kuangaika na kuandika historia yako kama tunavofanya kwa sasa kwa jk. Ninadahani heshima yako uipate mapema nitaomba unisamehe bure kama nitakua nimekukwaza ila ni maowazo yangu ambayo yamenisumbua mda sasa. Asante
Alipiga mkwara asiitwe mchonga (meno) la siVYo hilo jina litaondoka na mtu

Jr

Sent using Jamii Forums mobile app
 
... Niombee niiandike kabla sijalala... Lakini pis karibu pm tuone vile tunaeza fanya... Napokea kwa unyenyekevu mkuu
Salamu nyingi zikufikie wewe msahana jr kiukweli ninaitaji kufahamu japo kidogo historia yako wewe ninani na unaishi wapi na unafanya kazi gani nimefikia uamuzi huu baada ya kufuatilia bandiko (nyuzi) zako kila mara na namna ya uandisha wako hoja unazozitoa na namna unavo fikiri. Kiukweli ninaona utakua ww si mtu wa kawaida na kama ww ni wakawaida bas kuliko kusubir ufe tuanze kuangaika na kuandika historia yako kama tunavofanya kwa sasa kwa jk. Ninadahani heshima yako uipate mapema nitaomba unisamehe bure kama nitakua nimekukwaza ila ni maowazo yangu ambayo yamenisumbua mda sasa. Asante

Sent using Jamii Forums mobile app

Jr
 
1.Aliwahi mzaba bibi Titi Mohamed kibao ikulu kwanini?Bibi Titi alikuwa waziri wakati huo hakuwa msomi sasa alikwenda ziara China sasa kule Titi kukawa na hafla wakacheza mziki na mzungu anamuambia we are eating the country akiwa na manisha tunakula nchi (tuna kula bata)
2.Amewahi panga foleni national milling Shinyanga amevaa vibaya hakuna aliyemjua aliambiwa kuna rushwa ugawaji wa chakula.Alivyorudi dar ikatoka kwenye radio mkurugenzi hana kazi.
3.Aligoma kushusha thamani ya shilling yake kwa ushawishi wa IMF.Kumbuka wakati huo dola moja ilikuwa sawa na shilling5.Yalifanyika baadae alivyong'atuka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna stori ya muda mrefu kwamba Mwalimu aliwahi kutapeliwa matofali na jamaa mmoja wa Kihaya akiitwa Batenga. Alipogundua kua ameshaingizwa mjini alicheka sana na sio yeye wala serikali iliyomchukulia hatua jamaa!

Sina hakika na ukweli wa jambo hili lakini Mwalimu ni mtu aliyedharau mali hasa mali yake binafsi. Alikua anaumizwa kichwa na mali ya umma
Hii story nilishawahi kusimuliwa na Mzee wangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna stori ya muda mrefu kwamba Mwalimu aliwahi kutapeliwa matofali na jamaa mmoja wa Kihaya akiitwa Batenga. Alipogundua kua ameshaingizwa mjini alicheka sana na sio yeye wala serikali iliyomchukulia hatua jamaa!

Sina hakika na ukweli wa jambo hili lakini Mwalimu ni mtu aliyedharau mali hasa mali yake binafsi. Alikua anaumizwa kichwa na mali ya umma
Hakudharau matofali yake, bali alimtumia ujumbe Batenga (ambaye walikuwa na urafiki/utani) kuwa arudishe matofali LA sivyo atamfunga. Kilichotokea Batenga akaenda Msasani na mke wake na watoto, na alikuwa na watoto wengi akamwambia Julius we nifunge tuu lakini sii hawa watoto utalea we we?
Mwalimu akamfukuza kwa kumuambia hebu nitokee hapa! Unazaa kama kumbikumbi? Na ukawa mwisho wa story ya matofali.
 
Aliwahi kusema maneno Fulani kwa kina Marando mwaka 1995 kuhusu kuachia nchi kwenda alijojo, kosa ambalo akalifanya mjukuu wake.
Mwanae Ben hakufanya kosa hilo bahati mbaya mjukuu akafanya.
 
Hakudharau matofali yake, bali alimtumia ujumbe Batenga (ambaye walikuwa na urafiki/utani) kuwa arudishe matofali LA sivyo atamfunga. Kilichotokea Batenga akaenda Msasani na mke wake na watoto, na alikuwa na watoto wengi akamwambia Julius we nifunge tuu lakini sii hawa watoto utalea we we?
Mwalimu akamfukuza kwa kumuambia hebu nitokee hapa! Unazaa kama kumbikumbi? Na ukawa mwisho wa story ya matofali.
He was a very humble person
 
Nyerere alisoma Masters kama shahada ya kwanza, si shahada ya pili.

Kitabu cha kusoma ni "Nyerere: The Early Years" cha Profesa Thomas Molony wa Edinburgh.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom