kinywanyuku
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 3,562
- 2,628
Mkuu TheChoji samahani, unamwita nani Guluguja?
Mkuu TheChoji samahani, unamwita nani Guluguja?
Hujafa, hujaumbika. Muda ni Mwalimu mzuri sana. Mungu akusimamie katika hilo.Nimejiwekea vitu viwili katika maisha haya.
1. Sitakua na mtoto wa nje ya ndoa
2. Hakuna mimba yangu itatolewa.
Sahivi nina 30yrs na bado hii miiko miwili sinaivunja.
Ni wife material, nitaoa huyuKama anaelewela mkuu oa tu uhalishe, usimpotezee muda
Utoto ulimsumbua but trust me jamaa anaweza kuwa na amani ndoani kuliko waliooa pisi kaliMiaka ya nyuma kidogo kuna jamaa yangu alienda mbeya huko vijijini ndani ndani kuna mishe gani sijui alikua anapiga huko. Sasa jamaa kutokana na hali ya kule baridi na nini akakamatia guluguja moja matata akawa anaso
Dah! Imeisha vibaya ya nesi.Baada ya kumaliza chuo, nikatafuta kashule kujishikiza nikisubiri ajira ya nilichosomea. Kuna wiki nilikua mwalimu wa zamu, ukiwa zamu unakaa skuli hadi weekends jmos na j2.
Sasa jumamosi hiyo akaja huyo binti. Aliwahi soma hapo kabla sijaja, kaja kufata vyeti vyake.. nkamwambia vyeti vinakaa ofisi ya mkuu, na mkuu yupo siku za kazi. Nikachukua namba kwamba jumatatu kabla hajaja nimcheki kama mkuu yupo au laa.
Siku ile ile nkaanza mtongoza kwa simu. Na wakati huo plan yangu ilikua nipite tuu maana nilikua na mchumba wangu nesi ambae nasubiri nipate ajira rasmi nioe.
Siku nyingine ya kazi kaja kuchukua cheti, jioni kapitia geto, ingawa alininyima mzigo kisa bado mapema.. ila weekend inayofata alikuna geto na akanipa mzigo.
So nikawa na mademu wawili rasmi. Tatzo likaanza, nkaona namna anavonihendo huyu denti, ni tofauti na mchumba wangu nesi.
Denti akawa so romantic, ananiita mume wangu, ananijali mno. Basi nkawa naendelea kumla. Ghafla mimba hii hapa. Na nilijiwekeaga kwamba sitakuja kutoa mimba yangu. Nkasema usitoe ntaitunza.
Nahisi kwao walimshawishi ahamie maana nkaona anahamishia kimoja kimoja. Siku akija geto anaondoka baada ya siku 3, mara wiki mara akahamia mazima..
Nkafanya process za posa, nkalipa mahali, akajifungua sahv dogo ana 4yrs. Mwaka jana 2019 nmefunga nae ndoa. Na sahiv ni mama k.
Back to nesi, ile me kuoa ilimvuruga sana. Sababu anasema alikataa wengi kisa alikua na uhakika na mimi. Age ilikua imesonga alkua na 27yrs ile 2017. Mwaka jana nilipofunga ndoa yeye akiwa na 29yrs akagive up kuhusu kuolewa, akaamua atafute mtoto.. katka kutafuta mtoto akakutana na jamaa kumbe ni hiv +. So nesi nae akaukwaa. Mimba akipata zinatoka. Hadi sahv bado hajapata.. (Hizi story nazipata kwa shosti yake ambae me ni rafiki)
Dah! Hii imekaa vizuri.Kuna mwanamke alikuwa dadapoa nilikuwa mteja wake kwa muda mrefu sasa hivi ndio wife
All is well. Sio lazima mchumba awe mke. Hamna haja ya kuwa guilty. Ni bahati mbaya hamkuweza kuwa mume na mke. kulinda afya yake ni wajibu wake.Si kitu poa.. huwa namuonea huruma mno. Lkn sikua na namna na sina namna mpaka sasa. Sababu nmeshaoa na mke nilieoa sina kasoro yoyote naiona kwake. Ni mke bora kabisa..
Anavumilia mpaka lini sasa?Hahaaa wadada wa huko Wana sura personal Sana, Ila jamaa avumilie tu hamna namna
Mpaka kifo kiwatenganishe tu, na mbaya watoto wakirithi sura yake hapo sasaAnavumilia mpaka lini sasa?
Maisha na asili (nature) yana ukatili wa ajabu sana.Kuna crush wangu mmoja nimesikitishwa sana kuona eti ameoa
Hili ni jaribu kubwa sana. Hukawii kumwombea mtu kifo ili mtengane upate second chance.Mpaka kifo kiwatenganishe tu, na mbaya watoto wakirithi sura yake hapo sasa
Hawa wakibadilikaga huwa wanakuwa watu Pouwa sana. Nimekipenda kisa chako.Kweli kabisa mkuu, sikufikiria kumuoa japo tulipendana sana lkn yeye ndio alikataa na kuniambia wala usiweke hilo akilini mwako,
Na hayo aliniambia baada ya kupata mimba aliacha kwenda kujiuza akaniomba nimsapoti adi mtoto akifika mwaka atalea mwenyewe maana hakua na akiba kubwa japo ktk uchunguzi nkajua ana m4 bank nkapotezea,
Yaani akiwa na mimba tuliishi km tumeoana anaeza lala home hata mwezi ndio anarudi kwao, alikua akinipikia, kufua na mengineyo adi kajifungua.
Ni mwanamke mzuri mwenye hashima sana pamoja na kujiuza hana zile tabia mbovu kama wengi wao walivyo.
Mwenzangu na mimiDaah wangu nilijua nachuna nasepa, mara nikapigwa pingu kimasihara...
Nina mke kitambo Sanaa, mwaka aliozaa ndio huo nilioa pia.Mkuu muweke tu ndani utulie nae
Maisha yenyewe yako wapi haya na ushamzalisha mtoto 1 mwingine anakuja tena
Hahahaha wewe ndo umetisha SasaKuna mwanamke alikuwa dadapoa nilikuwa mteja wake kwa muda mrefu sasa hivi ndio wife
Ungewaacha au kuwapa wote mimbaUnahisi ningefanya nini kwa mazingira hayo?? Ningemuacha mama mwenye minba?