Tupaze sauti zetu kwa watawala, tusijekosa wa kutuzika

Jiulize jambo,kujifukiza kunaongeza ama kuounguza oxygen kwenye mapafu?,ukipata jibu utajua usahihi ni kiacha ama kuendelea
Kujifukiza kunapunguza nosal and throat congestion na mfumo mzima was hewa. Mtu anaposhindwa kupumua it's means mfumo mzima wa hewa ume be congested, ndio maana mtu anayejifukiza na kutumia maji ya moto ana reduce congestion ambayo inasaidia kupata nafuu.
 
Mambo ya afya waachieni wataalamu.

Mlishindwa kuwapa michai chai kina Balozi Kijazi kunapungua hizo congestion au kurekebisha hizo circulation?

Acheni usanii wauaji nyie.
Ugonjwa wa corona ni ugonjwa mpya wala kwenye vitabu haupo, hivyo ni wazi hakuna aliyejifunza mashuleni dunia nzima inajifunza haijalishi ni dokta au ni mtu wa kawaida sote tunajifunza. Hivyo mimi simwamini nesi wala mganga yeyote kila mmoja anaweza kuutibu
 
Mkuu hebu pitia hako kapicha, kuna muungwana mmoja alituma humu ili iwe msaada kwa wana wa adamu wenzie.
Screenshot_20210218-153108.jpg
 
Asalam Aleikum, Bwana apewe sifa, tumsifu Yesu Kristo. Nakusalimuni nyote kila mmoja kwa imani yake.

Ninaitwa Britho Lihakanga, ninaishi Tabata. Najua mtashangaa kuona leo ninaanika details zangu wazi. Sina uhakika na kesho yangu.

Kwa kifupi ni kwamba nina siku ya tano leo, nikipigania kesho yangu. Si kwa maana ya juma lijalo, la hasha ni siku inayofuata baada ya leo.

Ninajifukiza usiku usiku na mchana, mara ninapata nafuu, mara ninazidiwa. Sijakata tamaa, ninapigania uzima, japo ni Mungu tu ndiye anayeninusuru.

Nipo kitandani, sina hata hamu ya kuangalia TV, nikiulizia taarifa za habari zimebeba jambo gani zito, ninaambiwa misiba sana na karibu kila kona ya nchi ni misiba inayotokana na kushindwa kupumua vizuri.

Nimepata wazo kuwa tutakwisha huku mamlaka zimekaa kimya. Ni misiba ya wakubwa tu inatangazwa. Nina uhakika digidigi huku chini tutakuwa tunapukutika.

Tupaze sauti, vinginevyo tutakwisha. Tumwabie baba Jesca, lockdown haikwepeki, japo ni ile ya kiaina, shule zifungwe, tupunguze msongamano usio wa lazima na kila mmoja aseme wazi kwamba covid 19 is back and it is in another level.

Nikipona nitakuja kuandika tena. Vinginevyo, BuURIANI nyote ndani na nje ya JF.

Mkuu palikuwa na uzi huu:


Wenye maudhui kama yako.

Sera rasmi ya awamu hii kuhusiana na ugonjwa huu ni:

"Kila mtu na lwake."

Yaani kila mtu na abebe mzigo wake mwenyewe. Tusijuane. Tuachane njia panda.

Bila ya kupaza sauti na hasa tulio wahanga - mbona twafa tukijiona!
 
Ugonjwa wa corona ni ugonjwa mpya wala kwenye vitabu haupo, hivyo ni wazi hakuna aliyejifunza mashuleni dunia nzima inajifunza haijalishi ni dokta au ni mtu wa kawaida sote tunajifunza. Hivyo mimi simwamini nesi wala mganga yeyote kila mmoja anaweza kuutibu
Kichekesho kipya cha mwaka toka kwa nyani wale wale wenye kupenda kujifariji:

IMG_20210218_174254_207.jpg


Vitabu ni kitu gani katika zama za leo za kidijitali? Unajua maana ya machapisho jombi?

Ugonjwa huu si mpya kama ambavyo ungependa wewe na mataga wenzio kujifariji. Yafuatayo yanafahamika kuhusu ugonjwa huu:

1. Kirusi anayehusika
2. Namna unavyoambukiza
3. Walio wahanga zaidi
4. Walio salama zaidi
5. Namna ya kujikinga nao
6. Chanjo za kujikinga nao
7. Dalili zake
8. Namna unavyoua
9. Nk nk.

Ugonjwa mgeni? Ugonjwa mgeni maana yake nini?

Wenye propaganda zenu kuhusiana na janga hili la afya la kimataifa mnaita tishio la usalama wa taifa la Tanzania.

Kwenye utopolo huo vita dhidi ya ugonjwa huu imepokwa Toka kwa wataalamu wa afya.

Mabingwa wa propaganda tokea usalama wa taifa ndiyo wanajinasibu na kila utopolo usiokuwa na tija.

Nakazia: utopolo mtupu.
 
Qe
Kichekesho kipya cha mwaka toka kwa nyani wale wale wenye kupenda kujifariji:

View attachment 1706108

Vitabu ni kitu gani katika zama za leo za kidijitali? Unajua maana ya machapisho jombi?

Ugonjwa huu si mpya kama ambavyo ungependa wewe na mataga wenzio kujifariji. Yafuatayo yanafahamika kuhusu ugonjwa huu:

1. Kirusi anayehusika
2. Namna unavyoambukiza
3. Walio wahanga zaidi
4. Walio salama zaidi
5. Namna ya kujikinga nao
6. Chanjo za kujikinga nao
7. Dalili zake
8. Namna unavyoua
9. Nk nk.

Ugonjwa mgeni? Ugonjwa mgeni maana yake nini?

Wenye propaganda zenu kuhusiana na janga hili la afya la kimataifa mnaita tishio la usalama wa taifa la Tanzania.

Kwenye utopolo huo vita dhidi ya ugonjwa huu imepokwa Toka kwa wataalamu wa afya.

Mabingwa wa propaganda tokea usalama wa taifa ndiyo wanajinasibu na kila utopolo usiokuwa na tija.

Nakazia: utopolo mtupu.
Hata uandike maelezo mia mbili hizo ni theory zako, kama ulikua hujui basi sisi ndio tunaijua corona kuliko wewe mbabaishaji ulianza kuisikia redioni na kwenye TV.
kila tunacho andika tunaandika kwa uzoefu na sio kama wewe ulivyo kariri ni mimaelezo mingi
 
Pole sana kama kweli unaumwa, Mungu akusaidie upone, Hili ni janga la dunia na ukweli hakuna mwenye na jawabu la moja kwa moja kwa sasa, lockdown haisaidii hata nchi zilizoweka lockdown hazikusaidika.

Jibu ni kila mmoja aelewe namna ya kujikinga. taasisi zetu za dawa zimetoa dawa tumia ila huwezi shindwa kununua, vitunguu saumu,vitunguu maji, limao,tangawizi,pilipili, tengeneza juice kama una Asali weka na tumia itakusaidia.

Usisahau Kunywa maji ya vuguvugu, Matunda kwa wingi na punguza Mafuta
Asante sana mkuu, bado nahema. Nknamshukuru Mungu hizo dawa alizoelekeza jamaa mmoja humu zinanisaidia sana. Achilia mbali kushindwa kuhema, nimebaki na maumivu ya kifua. Nakohoa kikohozi kikavu sana. Lakini pua zimeanza kuhisi harufu na ladha ya chakula mdomoni naipata. Asante, najua mmeniombea nipone.
 
Asante sana mkuu, bado nahema. Nknamshukuru Mungu hizo dawa alizoelekeza jamaa mmoja humu zinanisaidia sana. Achilia mbali kushindwa kuhema, nimebaki na maumivu ya kifua. Nakohoa kikohozi kikavu sana. Lakini pua zimeanza kuhisi harufu na ladha ya chakula mdomoni naipata. Asante, najua mmeniombea nipone.

Pole sana.
 
Ukiwa mtenda maovu siku zote lazima ugope kukutana na Mungu,.
Na ni kweli Mungu atakuchoma kwa maovu yako.

Ila kwasisi watenda mema hata kifo kitupitie leo safi tu tena wala hatuliilii kama mwanangu Wa Tabata.

Kuna wengine humu wapo tayari hata kubeba mabomu na kwenda jiripua.

Ukiona mtu anaogopa kifo ujue mtenda maovu.
Aliyekwambia ukifa unakwenda kuonana na Mungu nani?
 
Asalam Aleikum, Bwana apewe sifa, tumsifu Yesu Kristo. Nakusalimuni nyote kila mmoja kwa imani yake.

Ninaitwa Britho Lihakanga, ninaishi Tabata. Najua mtashangaa kuona leo ninaanika details zangu wazi. Sina uhakika na kesho yangu.

Kwa kifupi ni kwamba nina siku ya tano leo, nikipigania kesho yangu. Si kwa maana ya juma lijalo, la hasha ni siku inayofuata baada ya leo.

Ninajifukiza usiku usiku na mchana, mara ninapata nafuu, mara ninazidiwa. Sijakata tamaa, ninapigania uzima, japo ni Mungu tu ndiye anayeninusuru.

Nipo kitandani, sina hata hamu ya kuangalia TV, nikiulizia taarifa za habari zimebeba jambo gani zito, ninaambiwa misiba sana na karibu kila kona ya nchi ni misiba inayotokana na kushindwa kupumua vizuri.

Nimepata wazo kuwa tutakwisha huku mamlaka zimekaa kimya. Ni misiba ya wakubwa tu inatangazwa. Nina uhakika digidigi huku chini tutakuwa tunapukutika.

Tupaze sauti, vinginevyo tutakwisha. Tumwabie baba Jesca, lockdown haikwepeki, japo ni ile ya kiaina, shule zifungwe, tupunguze msongamano usio wa lazima na kila mmoja aseme wazi kwamba covid 19 is back and it is in another level.

Nikipona nitakuja kuandika tena. Vinginevyo, BuURIANI nyote ndani na nje ya JF.

Pole sana ndugu,nakuombea kwa MUNGU akuponye.
Huku ukiendelea kujifukiza na kutumia dawa,jitahidi angalau kufanya mazoezi japo kwa muda mfupi.
 
Asalam Aleikum, Bwana apewe sifa, tumsifu Yesu Kristo. Nakusalimuni nyote kila mmoja kwa imani yake.

Ninaitwa Britho Lihakanga, ninaishi Tabata. Najua mtashangaa kuona leo ninaanika details zangu wazi. Sina uhakika na kesho yangu.

Kwa kifupi ni kwamba nina siku ya tano leo, nikipigania kesho yangu. Si kwa maana ya juma lijalo, la hasha ni siku inayofuata baada ya leo.

Ninajifukiza usiku usiku na mchana, mara ninapata nafuu, mara ninazidiwa. Sijakata tamaa, ninapigania uzima, japo ni Mungu tu ndiye anayeninusuru.

Nipo kitandani, sina hata hamu ya kuangalia TV, nikiulizia taarifa za habari zimebeba jambo gani zito, ninaambiwa misiba sana na karibu kila kona ya nchi ni misiba inayotokana na kushindwa kupumua vizuri.

Nimepata wazo kuwa tutakwisha huku mamlaka zimekaa kimya. Ni misiba ya wakubwa tu inatangazwa. Nina uhakika digidigi huku chini tutakuwa tunapukutika.

Tupaze sauti, vinginevyo tutakwisha. Tumwabie baba Jesca, lockdown haikwepeki, japo ni ile ya kiaina, shule zifungwe, tupunguze msongamano usio wa lazima na kila mmoja aseme wazi kwamba covid 19 is back and it is in another level.

Nikipona nitakuja kuandika tena. Vinginevyo, BuURIANI nyote ndani na nje ya JF.
Acha hofu Mkuu!!!,Mimi mwenyewe sipo vizuri lkn sina hofu.Mwamini Mungu atatenda tu.Hofu ndo inaua zaidi kuliko hata Corona.
 
Ugonjwa wa corona ni ugonjwa mpya wala kwenye vitabu haupo, hivyo ni wazi hakuna aliyejifunza mashuleni dunia nzima inajifunza haijalishi ni dokta au ni mtu wa kawaida sote tunajifunza. Hivyo mimi simwamini nesi wala mganga yeyote kila mmoja anaweza kuutibu
Kwenye vitabu haupo ila corona ilikuwepo toka 8000BCE yaani miaka 8000 kabla YESU hajazaliwa.Ila Corona-19 ndio ya hivyi karibunu hii ni strain mpya.Ni sawa na useme kuku wa kienyeji au ngombe wa kienyeji na kuku wa kisasa na ngombe wa kisasa wote ni ngombe au kuku lakini wanatofauti katika metabolism
 
Kingine nikupe faida kwa wote usibweteke ndani kisa eti unaumwa fanya mazoezi hata uheme sana utanue mapafu yako najua watu wanakuogopa toka nje kwako ruka kamba hata uone kifua kinataka kupasuka.Ukilala usilale chali lala kwa tumbo weka mto wako kifuani uangalie chini kuzuiya mapafu yasiweke maji.Mungu atakujalia kuna watanzania wengi wameugua na kupona.Mpaka umefikia hatua ya kuandika hapo ni dalili nzuri kuwa utapona
 
Jifukize makes kunywa bupiji kanauzwa hapo Sido nk kanasaidia sana! Ugua pole Mkuu
 
Hiyo siyo sababu pekee ya mtu kushindwa pumua bro hata kama umeiandika kwa kiingereza ili kuonesha unajua,
Kujifukiza kunapunguza nosal and throat congestion na mfumo mzima was hewa. Mtu anaposhindwa kupumua it's means mfumo mzima wa hewa ume be congested, ndio maana mtu anayejifukiza na kutumia maji ya moto ana reduce congestion ambayo inasaidia kupata nafuu.
 
Back
Top Bottom