1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,326
- 12,691
pale umesema akamchapa mrembo evans
Mtafute YouTube kwa nyimbo inaitwa pesa kwanza I hope utakubali kazi yakeKwa nyimbo zake.... si kwa sura. actually siku hizi niliacha saa kusikiliza hip hop kwa kiasi kikubwa. ukiacha watu kama akina Fid Q n.k
noma sana aiseeeeshida kubwa haikuwa sana kwenye kuuzima muziki. ila uhuni uliokuwa unaambatana na ule muziki wa HIP HOP hasa baada ya kuundwa yale makundi ya East Coast na West Coast ( kuna vijana walijaribu na hapa Bongo kutengeneza beef za kipuuzi kama hizo kwenye music) yale makundi yalikuwa ya wana hipo hop lakini yanaambatana na uhuni mwingi sana.madawa ya kulevya, u gangster n.k kupigana risasi na kila aina ya uovu.... so ingewezekana pia kama nao waliona imekuwa issue.ila aliyekuja kumuua Tupac alihisiwa .....
Dah mwanangu umetisha sana bro. me mnazi mmojawapo wa hip hop tangu kale ..
Kwa history nzuri ya Pac Na Biggie nmeelewa mambo mingi sana nyuma ya pazia.
People kama suge night, Nate dog na wengine wengi kumbe ni wa kale sana...
fanya kumgusia na snoop kidogo, maana snoop aliwai kuongea kuwa 2pac aliuwawa na rafiki zake, ila hakutaja ni nani muuaji, snoop alikuwa karibu sana na pac, lakini baadaee akawa pembeni sana sugar, embu gusia kidogo hapo
Waweza sema zilikuwa ghali sababu pesa yenyewe ilikuwa na thamani. Ila sidhani kama ilizidi 1000 kwa cassete moja.Duuu,bila shaka zilikuwa bei ghali kidogo
Kwani P.Didy ni gasho?P didy yule ni mjanjamjanja wa kumake hela tu,sio mwana hiphop..hata chana yake enzi hzo ni ya kitozi tu,akamwambukiza choko mwenzie mase
Kama sipo sahihi nisahihishe, huyo jamaa ndiyo aliyeimba....welcome back..Mase alichezea bahati sana maana miaka ya 1998 kuendelea mpaka 2003 upepo ulimendea vyema sana aise leo hii tungeka tunaongea mengine ila ndiyo basi tena game imebadilika now.