inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 17,907
- 18,174
Hiphop is deadIla gudume kwa uzoefu wako unaonaje mizuka ya kipindi kile na sasa,mi naona hiphop zamani ndo ilikua on fire japo kina krs one,mop,DJ premier wanatoa albums kila siku
Hiphop is deadIla gudume kwa uzoefu wako unaonaje mizuka ya kipindi kile na sasa,mi naona hiphop zamani ndo ilikua on fire japo kina krs one,mop,DJ premier wanatoa albums kila siku
How,sentesi yako haina information za kutoshaHiphop is dead
Ila gudume kwa uzoefu wako unaonaje mizuka ya kipindi kile na sasa,mi naona hiphop zamani ndo ilikua on fire japo kina krs one,mop,DJ premier wanatoa albums kila siku
Tamaduni music unawajua?hip hop is dying.... somebody should rescue it..akina dmx wameshaacha music wa dunia.amemrudia Mungu... kuna watu walikuwa wanaishi hip hop ..not now.
Kuna mtu anafanya hiphop siku au kuna wazinguaji tu!!?..akina bill nasHow,sentesi yako haina information za kutosha
Hao watoto hawana lolote..wanacheza mdako tuTamaduni music unawajua?
Kwani bill nas amewahi kuwa hiphop?Kuna mtu anafanya hiphop siku au kuna wazinguaji tu!!?..akina bill nas
Niki mbishi unamjua?hapana.... ila kuna washkja walikuwa arusha X-Plastaz nao wakapatwa na majanga...
Namjua..tangu jogoo naona ananenepa tu hakuna cha maana anachofanyaNiki mbishi unamjua?
Si ndo sampuli hizo mnazodai ni hiphop halafu mtamlinganisha na fidKwani bill nas amewahi kuwa hiphop?
amini nakwambia na nina uhakika si mimi tu wengi pia hatuzijui ngoma za b.i.g zaidi ya kumsikia tu kua alikuwa na bifu na makaveliHauko sirias mkuu
sikiliza hii kitu ya BIGGIE inaitwa Big Poppa
na huu wimbo wa Hypnotize
gudume tatizo mzaha mwingi,Mimi nlikuwa namtegemea sana bro akirudi toka mamtoni,lakini pia videos nyingi tulikuwa tuna record toka channel O.albums nyingine madukani au studios, but nlikuwa pia nafika South Afrika narud na cassetes kibao kuja kusikiliza na wana maskani
unachimba mnoha ha ha ... kwa nini unadhani nina mzaha....