Tupac Shakur na Notorious B.I.G Marafiki waliogeuka maadui na Kuharibu Taswira ya Hip Hop Duniani

hip hop is dying.... somebody should rescue it..akina dmx wameshaacha music wa dunia.amemrudia Mungu... kuna watu walikuwa wanaishi hip hop ..not now.
Ila gudume kwa uzoefu wako unaonaje mizuka ya kipindi kile na sasa,mi naona hiphop zamani ndo ilikua on fire japo kina krs one,mop,DJ premier wanatoa albums kila siku
 
Mimi nlikuwa namtegemea sana bro akirudi toka mamtoni,lakini pia videos nyingi tulikuwa tuna record toka channel O.albums nyingine madukani au studios, but nlikuwa pia nafika South Afrika narud na cassetes kibao kuja kusikiliza na wana maskani
gudume tatizo mzaha mwingi,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom