Tuongelee RUBELLA

Nyamgluu

JF-Expert Member
Mar 10, 2006
3,160
1,719
Wakuu wadau wa JF Doctor, tumetangaziwa kupeleka watoto wetu kupata chanjo ya Rubella, tujifunze hapa kuwa rubella ni nini. Bahati mbaya mimi sources zote nilizo nazo ni za kingereza namwomba mkuu mtaalam MziziMkavu aje na data kwa Kiswahili.

Nitakua ninatoa na kupachika vipande hapa vinavyoelezea rubella kutoka mtandaoni na kweka link zake ili msidhani kuwa natunga mimi.

Kuanzia juzi mada zangu zote kuhusu Rubella zimekua zikifungwa na mods wa JF, sababu labda zilikua very negative. Hivyo basi nimeamua kuleta huu uzi kielimu zaidi bila kuleta hisia zangu zozote kuhusu mpango wa sasa hivi wa chanjo.
 
Kutoka wikipedia" Rubella - Wikipedia, the free encyclopedia

Rubella, also known as German measles or three-day measles,[SUP][1][/SUP] is adisease caused by the rubella virus. The name "rubella" was derived from Latin, meaning little red. Rubella is also known as German measles because the disease was first described by German physicians in the mid-eighteenth century. This disease is often mild and attacks often pass unnoticed. The disease can last one to three days. Children recover more quickly than adults. Infection of the mother by rubella virus during pregnancy can be serious; if the mother is infected within the first 20 weeks of pregnancy, the child may be born with congenital rubella syndrome (CRS), which entails a range of serious incurable illnesses. Miscarriage occurs in up to 20% of cases.[SUP][2][/SUP]Rubella is a common childhood infection that is seldom fatal usually with minimal systemic upset although transient arthropathy may occur in adults. Serious complications such as deterioration of the skin are very rare. Apart from the effects of transplacental infection on the developing fetus, rubella is a relatively trivial infection.

Ninaomba mtu ajitolee kutafsiri hapo juu hasa sentensi zenye nyekundu.
cc BAK Karucee Blue G HARUFU Riwa Nimewa tag nyie sababu ndio nimekumbuka fasta fasta kama kuna mwingine mnaeweza kumtag tujadiliane itakua vizuri kupata mwanga zaidi.
 
Last edited by a moderator:
Kutoka CDC CDC Features - Rubella

Rubella is usually mild in children. But for some people-especially pregnant women and their babies-rubella can be serious. Make sure you and your child are protected from rubella by getting vaccinated on schedule.
Rubella virus can be found in nose and throat secretions, such as saliva, sputum, or nasal mucus, of infected people. You can spread the virus to others through sneezing or coughing.
In young children, rubella is usually mild, with few noticeable symptoms. They may have a fever and a sore throat. Adults are more likely to have a headache, pink eye, and general discomfort 1 to 5 days before the rash appears. Adults also tend to have more complications, including sore, swollen joints and, less commonly, arthritis, especially in women. A brain infection called encephalitis is a rare but serious complication that can affect adults with rubella. The most serious consequence from rubella infection is the harm it can cause a pregnant woman's baby.


[h=3]MMR Vaccine: Prevents Rubella Disease and Birth Defects[/h]Rubella vaccine is included in the MMR vaccine, which is a combination vaccine that protects you against measles, mumps, and rubella. MMR vaccine is safe and effective and has been widely used in the United States for more than 20 years.
In the United States, 2 doses are recommended for children:

  • the first dose at 12 through 15 months old and
  • the second dose, before entering school, at 4 through 6 years old.
 
Mradi huu uko chini ya shirika linaitwa GAVI Alliance na umeshatengewa bajeti ya USD 16,035,000 ambapo USD 1,546,500 tayari zilishatolewa mwaka huu kwa ajili ya kampeni hii.

Nenda google. Anidika Rubella Tanzania na fungua document ya kwanza/ most recent utakayoona.
 
Kwa miaka mingi mpango wa chanjo nchini umekua ni
BCG kwa ajili ya TB
four doses of OPV kwa ajili ya Polio,
three doses of DTP-HB kwa ajili ya Tetenus na Hepatitis B
na measles/ surua vaccine.

Tanzania hatujawahi kuwa na mpango wa chanjo wa RUBELLA kwa sababu haikuwahi kuonekana kuwa ni tatizo la hapa nchini kwetu au Africa mashariki kwa ujumla.

Ninaomba tusaidiane kutafuta research au data zozote zinazo onyesha ya kwamba RUBELLA ukiwa ni ugonjwa unao wapata zaidi wa Mama Wajawazito na watu Wazima umeibuka Tanzania na kuhitaji kampeni ya zaidi ya bilion 20 kuchanja WATOTO.

Mimi binafsi nimetafuta nimeshindwa. Asanteni.
 
Au kama kuna mtu kasikia kutoka kwa mfanyakazi yeyote wa hospitali kuwa hili tatizo limeibuka.
 
Wakuu wadau wa JF Doctor, tumetangaziwa kupeleka watoto wetu kupata chanjo ya Rubella, tujifunze hapa kuwa rubella ni nini. Bahati mbaya mimi sources zote nilizo nazo ni za kingereza namwomba mkuu mtaalam MziziMkavu aje na data kwa Kiswahili.
Nitakua ninatoa na kupachika vipande hapa vinavyoelezea rubella kutoka mtandaoni na kweka link zake ili msidhani kuwa natunga mimi. Kuanzia juzi mada zangu zote kuhusu Rubella zimekua zikifungwa na mods wa JF, sababu labda zilikua very negative. Hivyo basi nimeamua kuleta huu uzi kielimu zaidi bila kuleta hisia zangu zozote kuhusu mpango wa sasa hivi wa chanjo.

Kutoka wikipedia" Rubella - Wikipedia, the free encyclopedia

Rubella, also known as German measles or three-day measles,[SUP][1][/SUP] is adisease caused by the rubella virus. The name "rubella" was derived from Latin, meaning little red. Rubella is also known as German measles because the disease was first described by German physicians in the mid-eighteenth century. This disease is often mild and attacks often pass unnoticed. The disease can last one to three days. Children recover more quickly than adults. Infection of the mother by rubella virus during pregnancy can be serious; if the mother is infected within the first 20 weeks of pregnancy, the child may be born with congenital rubella syndrome (CRS), which entails a range of serious incurable illnesses. Miscarriage occurs in up to 20% of cases.[SUP][2][/SUP]Rubella is a common childhood infection that is seldom fatal usually with minimal systemic upset although transient arthropathy may occur in adults. Serious complications such as deterioration of the skin are very rare. Apart from the effects of transplacental infection on the developing fetus, rubella is a relatively trivial infection.

Ninaomba mtu ajitolee kutafsiri hapo juu hasa sentensi zenye nyekundu.
cc BAK Karucee Blue G HARUFU Riwa Nimewa tag nyie sababu ndio nimekumbuka fasta fasta kama kuna mwingine mnaeweza kumtag tujadiliane itakua vizuri kupata mwanga zaidi.

Kutoka CDC CDC Features - Rubella

Rubella is usually mild in children. But for some people—especially pregnant women and their babies—rubella can be serious. Make sure you and your child are protected from rubella by getting vaccinated on schedule.
Rubella virus can be found in nose and throat secretions, such as saliva, sputum, or nasal mucus, of infected people. You can spread the virus to others through sneezing or coughing.
In young children, rubella is usually mild, with few noticeable symptoms. They may have a fever and a sore throat. Adults are more likely to have a headache, pink eye, and general discomfort 1 to 5 days before the rash appears. Adults also tend to have more complications, including sore, swollen joints and, less commonly, arthritis, especially in women. A brain infection called encephalitis is a rare but serious complication that can affect adults with rubella. The most serious consequence from rubella infection is the harm it can cause a pregnant woman's baby.


MMR Vaccine: Prevents Rubella Disease and Birth Defects

Rubella vaccine is included in the MMR vaccine, which is a combination vaccine that protects you against measles, mumps, and rubella. MMR vaccine is safe and effective and has been widely used in the United States for more than 20 years.
In the United States, 2 doses are recommended for children:

  • the first dose at 12 through 15 months old and
  • the second dose, before entering school, at 4 through 6 years old.

Mradi huu uko chini ya shirika linaitwa GAVI Alliance na umeshatengewa bajeti ya USD 16,035,000 ambapo USD 1,546,500 tayari zilishatolewa mwaka huu kwa ajili ya kampeni hii.

Nenda google. Anidika Rubella Tanzania na fungua document ya kwanza/ most recent utakayoona.

Au kama kuna mtu kasikia kutoka kwa mfanyakazi yeyote wa hospitali kuwa hili tatizo limeibuka.
Habari yako mkuu? Tatizo lako wewe unaweka link kila sehemu ndio Maanda Moderator anazifuta ungeliweka Link moja hapo juu ingelikuwa jambo l amaana si kujaza kila sehemu@Nyamgluu

Maradhi ya ngozi yaenezwayo na virusi Maradhi ya Rubela.


KWA UFUPI
Ili kuweza kutoa jibu la swali lake na kwa faida ya wote wanaosoma safu hii nimeona ni vyema nitoe maelezo kamili ya maradhi haya ya rubella.


Katika mwendelezo wa makala haya juu ya ngozi, najibu swali la dada Vicky Kombe aliyetaka kujua juu ya maradhi ya rubella na kama ni kweli yanaweza kuwa chanzo cha kushindwa kupata watoto.

Ili kuweza kutoa jibu la swali lake na kwa faida ya wote wanaosoma safu hii nimeona ni vyema nitoe maelezo kamili ya maradhi haya ya rubella.

Rubella au surua ya Ujerumani au kwa jina jingine inajulikana kama surua ya siku tatu. Ni maradhi ya ngozi ambayo husambazwa na virusi vilivyo ndani ya kundi linaloitwa togaviridae.

Maradhi haya kwa kawaida huwa ni ya kawaida sana na mara nyingi huwa hayaonyeshi dalili yoyote.

Changamoto kubwa huwa inajitokeza pale maradhi haya yanapompata mama mjamzito hasa katika kipindi cha miezi mitatu ya mwanzo. Uzuri ni kuwa maradhi haya yana kinga.

Hutokea kwa binadamu tu na mara nyingi husambaa zaidi kipindi cha mvua. Husambazwa kwa njia ya hewa na huhusisha majimaji yanayotoka kwenye njia ya hewa.

Ili maradhi haya yaweze kusambaa kutoka kwa mwenye uambukizo kwenda kwa asiye na uambukizo, inahitaji wawili hawa wawe karibu sana.

Unaweza kupata maambukizi kama umekutana na majimaji yanayotoka kwenye njia ya hewa kama mate, makohozi kutoka kwa mtu mwenye maambukizo, kwa mfano kupitia busu au kushirikiana mswaki.

Mtu anaweza kuambukizwa iwapo mgonjwa wa rubella aliye karibu yako, anapiga chafya au kukohoa bila kuziba kinywa na kuruhusu majimaji yanayotoka kwenye kikohozi kuweza kuingia kwenye pua zako au kinywa chako.

Njia nyingine ni mgonjwa kupiga chafya au kukohoa huku amefunika kinywa na mkono wake halafu mara hiyohiyo akakushika mkono au akashika kitu ambacho ukakishika mara hiyohiyo na kupeleka mkono wako kinywani au puani.

Mtu ambaye hajapatiwa kinga ya rubella, akiambukizwa virusi huingia kwenye mfumo wa hewa na kusambaa mpaka kwenye mfumo wa limfu.

Virusi hawa hatimaye huingia kwenye mfumo wa damu na ndipo mfumo wa kinga wa mwathirika huanza kutengeneza kinga ili iweze kupambana na maradhi haya. Kwa vile kinga ya mwili inakua inafanya kazi ya kupambana na virusi vya rubella, inashindwa kupambana na vimelea vya maradhi mengine ambayo yanatumia nafasi hiyo kuumiza zaidi ngozi na mwili.
Mwishowe kinga ya mwili huweza kuua virusi vya rubella na mgonjwa hupona kutokana na maradhi haya.

Mara nyingi maradhi haya hupotea bila matibabu ya aina yoyote. Kwa wale ambao huonyesha dalilidalili hizi huonekana baada ya wiki mbili au tatu tangu maambukizi kutokea.

Vijana wa umri wa balehe na watu wazima hupata dalili za mwanzo kati ya siku moja hadi tano kabla vipele havijatokea kwenye ngozi.

Dalili hizi ni kama vile kichwa kuuma, kuvimba kwa tezi, homa, mwili kuchoka, maumivu ya macho na koo.

Dalili zinazofuata baada ya hizi kwa vijana na watu wazima ni vipele vinavyotokea mwili mzima. Kwa watoto wadogo dalili hizi za vipele hutokea mwanzo.

Vipele hivi huanza kuonekana kwenye paji la uso na baadaye husambaa mwili mzima na mara nyingi ni baada ya siku mbili. Vipele hivi huwa vina rangi nyekundu na huwa vimeinuka juu ya ngozi na mara zote huwa vinawasha sana. chanzo.Maradhi ya ngozi yaenezwayo na virusi - mwanzo - mwananchi.co.tz





 

Attachments

  • Rash_of_rubella_on_skin_of_child's_back.jpg
    Rash_of_rubella_on_skin_of_child's_back.jpg
    44.5 KB · Views: 234
Habari waungwana.
Miaka 6 iliyopita nilionyesha doubts zangu kuhusu chanjo ya Rubella iliyoletwa nchini kwetu.
Nashukuru sana ule mpango haukupita nchi nzima na nina fikiri sababu kubwa ni tulivyompata huyu kiongozi wetu JPM.

Sasa kama mtaalam tena nina wasihi msije kukimbilia chanjo ya Corona ikitangazwa.

Sijaandika chochote kuhusu Corona humu safari sababu "wajuaji" ni wengi na unaweza andika vitu vikaishia kupotezewa tu.
Lakini fanyeni your due diligence. Hata kwenye hii response yetu ya Corona Raisi wetu amekua sahihi kwa asilimia nyingi zaidi kuliko kukosea.
 
Back
Top Bottom