Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,450
- 12,316
Si Bashite ndo mshauri mkuu wa mkulu....Kwani ana ushauri?
Si Bashite ndo mshauri mkuu wa mkulu....Kwani ana ushauri?
umeshasema tuhumaNdugu kangi alikuwa na tuhuma ya kupokea na kuomba rushwa
Elimu ya kangi ni ya level gani??
Viongozi wa kisiasa huchaguliwa na wananchi. Hawapikwi kwenye "chungu" au kuandaliwa mafichoni.Kwenye chungu (Kangi Lugola) ndio anaonekana mwenye unafuu, who else should the man from Kivukoni can pick?? Guys hapa ndipo tulipofika, Zoezi la kuandaa viongozi lazima liwe endelevu, vinginevyo tuendako ni giza(Kama viongozi wenyewe tunaoletewa kutoka kwenye chungu ndio hawa)