technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Manara hajafukuzwa tatizo mashabiki wengi ni wajingaAlilewa sifa akidhani kaajiriwa na mashabiki.
Akwendreeeee simba ni kubwa kuliko mtu. Ametoka lkn simba itabaki palepale ilipo pengine itapaa zaidi.
Alafu yule ni Snitch!!!
Traitor!!!!
Manara kaandika barua ya kuacha kazi mwenyewe bila kulazimishwa na mtu.