Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,848
- 2,669
Naona unaongelea bidhaa tu mkuu. Usafiri ni huduma. Boresha mada.
Kwani enzi za Mkapa bajeti ilikuwa inajadiliwa na watu wenye elimu gani?Tatizo ni uhaba wa uongozi wa juu Tanzania. Wachumi hawatumiki ,tunatumia wabunge wa darasa la saba na fomu4 kujadili bajeti,unategemea nini hapo?
dah hii hali sio hali hasa sisi walimu mshahara mdogo makato ya kutosha kodi asilimia 14, CWT asilimia 2, bima ya afya, ingawa hadi leo hatujapewa kadi, NSSF zote kama aslimia7 huku bado hatujapewa nyumba so kodi zitokane na huo huo mshahara bado usafiri kufika kazini tunajitegemea, hakuna vitendea kazi kalamu, vitabu, teaching aids tunatafta kwa hela yetu unafkiri kwa kipato hiki ntatafta hvo vitu ndo maana matokeo ni poor huwez amin hta scheme of work na lesson plan hatuandai coz eti tununue karatasi za kuandikia kwa pesa ipi? Huku wakuu wa shule wananeemeka kwa marupurupu wakishirikiana na maafsa elimu hawanunui vifaa. afu ukicompare na wenzetu hali yetu ni mbaya, kama juzi nliwaza na nkajuta why nimekuwa teacher coz nilikutana na watu tuliograduate nao chuo mmoja alisoma BBA na mwingine Law yani wako safi wana usafiri hadi kimavazi hatulingani huwezi amini ni miaka michache tu nyuma tulikuwa sawa wote tukihemea boom la bodi hebu watuangalie kwa jicho la tatu coz sisi tunadeal na kitu sensitive sisi ndo tunamould na kushape taifa la leo na kesho
Kwani enzi za Mkapa bajeti ilikuwa inajadiliwa na watu wenye elimu gani?
Kwani enzi za Mkapa bajeti ilikuwa inajadiliwa na watu wenye elimu gani?
Tatizo la Tanzania kuna utofauti mkubwa sana wa viwango vya mishahara